Kanuni za CAF zinatoa unfair competition, hivyo sioni uhalali wa kulnganisha timu mbalimbali za hapa Afrika

Kanuni za CAF zinatoa unfair competition, hivyo sioni uhalali wa kulnganisha timu mbalimbali za hapa Afrika

Uko sahihi kabisa na hizi droo huwa zinafanyika live na mimi nimewahi shuhudia.

Leo ofisini kuna shabiki wa Simba kanieleze kundi la Yanga lilipangwa hivyo kwa mabingwa kukiutainshwa nikashangaa na ndio maana nilitumia maneno "kama ni kweli," kwasbabu nilikuwa na mashaka ila kwasbabu sikufuatilia, sikutaka kumbishia.
Kumbe kundi D tulikua mabingwa tu?

Hebu la SIMBA!!!

SIMBA -Hakua bingwa
WYDAD -Hakua bingwa
ASEC -Nafatilia
JWANENG -huyu mbovu tu hata sifatilii
(Jokes tu, kwa watani)
 
Kumbe kundi D tulikua mabingwa tu?

Hebu la SIMBA!!!

SIMBA -Hakua bingwa
WYDAD -Hakua bingwa
ASEC -Nafatilia
JWANENG -huyu mbovu tu hata sifatilii
(Jokes tu, kwa watani)
Tena likiwa na Waarabu wawili kutoka kwenye nchi zenye ligi bora barani Afrika.
 
Uko sahihi kabisa na hizi droo huwa zinafanyika live na mimi nimewahi shuhudia.

Leo ofisini kuna shabiki wa Simba kanieleze kundi la Yanga lilipangwa hivyo kwa mabingwa kukiutainshwa nikashangaa na ndio maana nilitumia maneno "kama ni kweli," kwasbabu nilikuwa na mashaka ila kwasbabu sikufuatilia, sikutaka kumbishia.
Uje na hoja usingizie mtu ambaye hakuleta hoja hapa.Siku nyingine fuatilia.
 
Back
Top Bottom