Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani toka waanze na hii anguko lake lipo karibu!Toka isemekane anguko lake liko karibu ni toka 2012 mpaka leo jamaa yupo tu sa sijui neno karibu lina maana ya muda kiasi gani
yani toka waanze na hii anguko lake lipo karibu!
sijui hawachoki!
I loved the boy since day one!Hata mimi wakati ametoa nenda kakwambie bell9 alikuwa aktoa sumu ya penzi nikawa nawambia watu huyu jamaa sijui kwanini watu wanapenda huu wimbo huyu hadumu ni upepo tu lakini niliposkia mbagara na moyo wangu nikasalimu amri kuwa he is here to stay nikakubariana na ukweli
HAHAHAHHAHA yani hawa wa hivi mbona tumeshawazoea!Inavunja rekodi zake huko ina 1M viewers ndani ya masaa 13 endelea kuota
Comment za fb hiziKama unaamini mtoa mada ni mchawi gonga like
Wimbo wa kwanza unaitwa Jisachi ft Jeez Mabov na NgweaI loved the boy since day one!
SIJAWAHI DOUBT KAZI YAKE, toka wimbo wa kwanza!
SIJAWAHI!
cc Ruttashobolwa
Honey Tucheze Rhumba Kidogobaby tucheze rumba kidogooo.
jf ishavamia na watu wa fb..tuwavumilie tuComment za fb hizi