Kanye West aanzisha Biblia yake, ajiita Mungu

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,580
Reaction score
1,987
Mwanamuziki wa kufokafoka wa Marekani, Kanye West ameibadilisha biblia inayotumiwa na Wakristo kwa kuweka jina lake badala ya Mungu.

My take: Utajiri ukizidi ni shida
===================

 
Binadamu anguko lake li karibu kabisa...huwezi fanya kufuru kubwa namna hii... Ila fimbo ya Mungu itafanya kazi; Yaani Kanye aliumba mbingu na nchi? Akasema kuwe na jua na kila kitu kikawa?
Money is the source of all evils indeed
 
Hakunaga binadamu ninayemchukia hapa duniani kama kanye West!
 
Uchizi na umburula uko wa aina nyingi,hapo sio Kanye ila Kanyea!
 
"so y'all better quit playing with god"
Listen I am a god by kanye west
 
dah kila mtu ana dhambi zake ila hakuna dhambi mbaya kama hii. Jamaa sasa kavuka mipaka na kanisa kaanzisha Mungu atamfundisha ---- huyu.
 
Kwanza, Kanye yuko hivyo alivyo toka kitambo, hoe'ing 4 attention kwa namna yoyote. Hajaanza leo kujifanananisha na Mungu.

Pili, Hii mnavyo-panic hapa na kuupa muda wenu upuuzi wake, ndio ushindi kwake, kifupi y'all dancing to his tune.

Tatu na muhimu, kwani Mungu wako wa kawaida kiasi gani, mpaka hata taahira akijilinganisha nae au kumkashifu unapagawa?

Kifupi Kanye na wanaomtumia wanacheza na akili zenu, ukifungua macho hizi issue unaziona na hazikusumbui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…