Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina mtume nina Mungu aliyehai aliyeumba mbingu na nchi kwishinia
Huoni ajabu mungu kupanda jukwaani na kuanza kufoka foka?? Huoni ajabu mungu kushika makalio ya kim kadashian??
Afanye hvyo na kwenye kuruwani halafu tuone kitachotokea.
kwahiyo kim kadashian ni mke wa mungu....????
Ha ha ha haya bhana kuna jamaa alikojolea Quaran tukufu kule mbagala na hakugeuka chochote bali mlitaka kumuua.Wewe kama muislamu unafikiri ni kwa nini hakupatwa na lolote lililo baya.Je,Quaran haina nguvu yoyote ile au wakati wa yule jamaa kugeuka kitu cha ajabu haujafika?Naomba maelekezo tafadhali.
Labda alikojolea Bible
Walikuwa wanabishana na mwenzake kwamba akikojolea msahafu atageuka na kuwa mnyama sasa dogo akakojolea kweli na mpaka leo anaishi sema huo mzozo ulioibuka hapo sio wa nchi hii.
Hivi lile sakata liliisha vipi?
Basi hangaika na mungu wako alie hai achana na yasokuhusu kama huyaelewi. Si lazima ujue kila kitu.
Huoni ajabu mungu kupanda jukwaani na kuanza kufoka foka?? Huoni ajabu mungu kushika makalio ya kim kadashian??
Kwanza, Kanye yuko hivyo alivyo toka kitambo, hoe'ing 4 attention kwa namna yoyote. Hajaanza leo kujifanananisha na Mungu.
Pili, Hii mnavyo-panic hapa na kuupa muda wenu upuuzi wake, ndio ushindi kwake, kifupi y'all dancing to his tune.
Tatu na muhimu, kwani Mungu wako wa kawaida kiasi gani, mpaka hata taahira akijilinganisha nae au kumkashifu unapagawa?
Kifupi Kanye na wanaomtumia wanacheza na akili zenu, ukifungua macho hizi issue unaziona na hazikusumbui.
Unamateso ?? Umekabwa shingo nn povu jingi
Nimekuambia kama unamoyo kiduchu usichungulie huku kwa waliokamili tu.
I would say stupidity is being bothered a Stupid who's just being his stupid-self, Boss.Publicity stunt. Its stupid tho.