Kanye West aanzisha Biblia yake, ajiita Mungu

Kanye West aanzisha Biblia yake, ajiita Mungu

Huu msemo wake anapendaga kusema I SOLD MY SOUL TO THE DEVIL!!! Unanisisimuaga sana...kiukweli anahitaji kuombewa rehema kwa hapo alipofikia...
 
kwahiyo kim kadashian ni mke wa mungu....????
 
Go Kanye, Go.. It's a free world. God is a myth and everyone can mould everything with power of utterance. But my question to you is, was it necessary to use Bible in Disguise?!
 
Kanye kavurugwa, atatufundisha nini kuhusu mungu bhana! Na biblia imejificha wapi?
 
Afanye hvyo na kwenye kuruwani halafu tuone kitachotokea.

Ha ha ha haya bhana kuna jamaa alikojolea Quaran tukufu kule mbagala na hakugeuka chochote bali mlitaka kumuua.Wewe kama muislamu unafikiri ni kwa nini hakupatwa na lolote lililo baya.Je,Quaran haina nguvu yoyote ile au wakati wa yule jamaa kugeuka kitu cha ajabu haujafika?Naomba maelekezo tafadhali.
 
Huyu atakuwa Israel mtoa roho anamnyemelea
 
Ha ha ha haya bhana kuna jamaa alikojolea Quaran tukufu kule mbagala na hakugeuka chochote bali mlitaka kumuua.Wewe kama muislamu unafikiri ni kwa nini hakupatwa na lolote lililo baya.Je,Quaran haina nguvu yoyote ile au wakati wa yule jamaa kugeuka kitu cha ajabu haujafika?Naomba maelekezo tafadhali.

Labda alikojolea Bible
 
Basi hangaika na mungu wako alie hai achana na yasokuhusu kama huyaelewi. Si lazima ujue kila kitu.

Unamateso ?? Umekabwa shingo nn povu jingi

Nimekuambia kama unamoyo kiduchu usichungulie huku kwa waliokamili tu.
 
Aanzishe asianzishe ni juu yake...

Kumsema au kutomsema haibadilishi chochote...
 
Kwanza, Kanye yuko hivyo alivyo toka kitambo, hoe'ing 4 attention kwa namna yoyote. Hajaanza leo kujifanananisha na Mungu.

Pili, Hii mnavyo-panic hapa na kuupa muda wenu upuuzi wake, ndio ushindi kwake, kifupi y'all dancing to his tune.

Tatu na muhimu, kwani Mungu wako wa kawaida kiasi gani, mpaka hata taahira akijilinganisha nae au kumkashifu unapagawa?

Kifupi Kanye na wanaomtumia wanacheza na akili zenu, ukifungua macho hizi issue unaziona na hazikusumbui.

Publicity stunt. Its stupid tho.
 
Publicity stunt. Its stupid tho.
I would say stupidity is being bothered a Stupid who's just being his stupid-self, Boss.

Best way to deal with such, is to show them, though you may not be too big to notice, you surely is too damn big to pay them any mind.
 
Back
Top Bottom