Kanye West: Prayers are not working

Kanye West: Prayers are not working



Uwe unafuatilia mitandao mikubwa sio kuleta ushamba.
Mkuu mimi ni member wa quora,

Ni msomaji mzuri sana wa midahalo mbali mbali ya mtandao huu.

Kwa tuhuma kuniita mshamba ni mtazamo wako tu, na sio mbaya

Japo wewe ni mshamba wa viwango vya juu!!

Nmekuomba ushahidi kusupport claim zako, umeniletea threads hiyo kutoka quora.

Yan umeniletea uzi tu wenye claims zile zile wala cyo ushahidi nliokuomba.

Katika uzi ulio share hapa, jamaa mmoja anaitwa Collin Wright na wengine wengi wanauliza swali kama langu la kuhoji evidence as i did here

_20240322_164100.JPG


_20240322_164033.JPG



Je unaelewa hata ulichokishare hapa au ulik!mbia tu google chap chap na kuleta hapa!!?
 
Mkuu mimi ni member wa quora,

Ni msomaji mzuri sana wa midahalo mbali mbali ya mtandao huu.

Kwa tuhuma kuniita mshamba ni mtazamo wako tu, na sio mbaya

Japo wewe ni mshamba wa viwango vya juu!!

Nmekuomba ushahidi kusupport claim zako, umeniletea threads hiyo kutoka quora.

Yan umeniletea uzi tu wenye claims zile zile wala cyo ushahidi nliokuomba.

Katika uzi ulio share hapa, jamaa mmoja anaitwa Collin Wright na wengine wengi wanauliza swali kama langu la kuhoji evidence as i did here

View attachment 2941830

View attachment 2941831


Je unaelewa hata ulichokishare hapa au ulik!mbia tu google chap chap na kuleta hapa!!?
Kuna hzi humu utafute huyo jamaa yako anayejifanya ni atheist ,alileta shobo takwimu alipewa ndio maana nikakuambia tafuta mitandaoni .
 
Kuna hzi humu utafute huyo jamaa yako anayejifanya ni atheist ,alileta shobo takwimu alipewa ndio maana nikakuambia tafuta mitandaoni .
Sasa naamini vipi hata kuwa huo uzi upo kweli na si kwamba unataka kujipigia upatu tu?

Yani kujamba ujambe wewe halafu unipe kazi ya kutafuta aliyejamba!!!

This is hilarious
 
Sasa naamini vipi hata kuwa huo uzi upo kweli na si kwamba unataka kujipigia upatu tu?

Yani kujamba ujambe wewe halafu unipe kazi ya kutafuta aliyejamba!!!

This is hilarious

Narudia tena "Tafuta uzi " jamaa alileta huyo mkubwa wenu alikaa kimya.😅
 

Narudia tena "Tafuta uzi " jamaa alileta huyo mkubwa wenu alikaa kimya.😅
Nadhani huelewi tunachojadili,

Umeleta link unayodhan kwamba inaendana na nlichokuomba katika mjadala huu!!

Link hii inaeleza kiwango cha jinai za kujiua zilivyo kidogo katika nchi za kidini.

Uwepo wa rate ndogo ya kesi za kujiua kwa nchi za kidini, haithibitishi kivyovyote vile kuhusu mantiki yako kuwa atheist ndo hujiua sana.

Elewa wanaposema religious country ni zile zinazoongozwa kidini tu, hata humo atheist wamo!! Lazima uelewe hilo

Na ukirudi kwenzye hoja yako,
Hoja ilianzia hapa
Wanakosa last hope ,wengi wana husda hata public gathering hawataki .

Atheists ni wabinafsi ndio maana wanakufa ,wanapenda mambo yanyooke kwao tu ,wana stress kinoma
Kukosa last hope, husda, kutokutaka public gathering,

Ubinafsi,
Na ndyo maana wanakufa

Nmekuuliza swali la msingi na hujaweza kulijibu bado,

Je theist hawafi!??
 
Nadhani huelewi tunachojadili,

Umeleta link unayodhan kwamba inaendana na nlichokuomba katika mjadala huu!!

Link hii inaeleza kiwango cha jinai za kujiua zilivyo kidogo katika nchi za kidini.

Uwepo wa rate ndogo ya kesi za kujiua kwa nchi za kidini, haithibitishi kivyovyote vile kuhusu mantiki yako kuwa atheist ndo hujiua sana.

Elewa wanaposema religious country ni zile zinazoongozwa kidini tu, hata humo atheist wamo!! Lazima uelewe hilo

Na ukirudi kwenzye hoja yako,
Hoja ilianzia hapa

Kukosa last hope, husda, kutokutaka public gathering,

Ubinafsi,
Na ndyo maana wanakufa

Nmekuuliza swali la msingi na hujaweza kulijibu bado,

Je theist hawafi!??
Punguza kelele ,maneno mengi ni kukosa kujiamini.

Tatizo akitajwa Mungu mnaleta shobo ,si mkae kimya.
 
Punguza kelele ,maneno mengi ni kukosa kujiamini.

Tatizo akitajwa Mungu mnaleta shobo ,si mkae kimya.
Out of point

Wewe unataka uachwe uongee uongo?

Je ni kosa mtu kutaka kuzuia uongo!!?

Rudi kwenye mada

Theist hawafi?
 
Out of point

Wewe unataka uachwe uongee uongo?

Je ni kosa mtu kutaka kuzuia uongo!!?

Rudi kwenye mada

Theist hawafi?
Nyie mnaleta upumbavu wenu 😅😅yaami nyie wajinga munifundishe mimi !?
 
Nyie mnaleta upumbavu wenu 😅😅yaami nyie wajinga munifundishe mimi !?
Ukiletewa uelevu na upumbavu utaweza kutofautisha!?

Hoja yako kusema kuwa Atheist ni wabinafsi na ndyo maana wanakufa kisha ukaulizwa theist hawafi na ukashindwa kujibu,

Huo ni uelevu au ni upumbavu!?
 
Ukiletewa uelevu na upumbavu utaweza kutofautisha!?

Hoja yako kusema kuwa Atheist ni wabinafsi na ndyo maana wanakufa kisha ukaulizwa theist hawafi na ukashindwa kujibu,

Huo ni uelevu au ni upumbavu!?
Kwani uongo , hakuna ulazima wa kuonyesha angalieni tu mlivyo na shobo ,akitajwa Mungu basi kama inawakera.
 
Mungu anajibu kwa wakati wake na sio wako,shetani anajibu kwa wakati wako baada ya kumtimizia atakacho kwa hasara Yako ya baadae,shetani hatoi msaada bure ni lazima afaidike na wewe.
 
Mwenye kumuelewa Kanye ni Mungu yupi anamsema mungu wa dunia hii au yule wa universe.
 
Back
Top Bottom