Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 2,012
- 5,571
Leo nimegundua napenda sana mwanaume akivaa kanzu. Kanzu ina usexiness fulani hivi sijui kwa sababu asili yangu ni Pwani.
Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi fulani. Huwa napenda sana Ijumaa nikiwa Kariakoo nikipishana na waislamu na kanzu zao manukato kama yote.
Ila kanzu uwe na “swagg” or else utaonekana kama pipa.
Ladies, ni mimi tu nina maruhani na kanzu au kuna wenzangu huko?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi fulani. Huwa napenda sana Ijumaa nikiwa Kariakoo nikipishana na waislamu na kanzu zao manukato kama yote.
Ila kanzu uwe na “swagg” or else utaonekana kama pipa.
Ladies, ni mimi tu nina maruhani na kanzu au kuna wenzangu huko?
Sent from my iPhone using JamiiForums