Kanzu ni vazi amazing, basi tu...

Kanzu ni vazi amazing, basi tu...

Ama kuhusu kanzu, Agano la Kale linasema: “Ataoga mwili wote katika maji, kisha atavaa mavazi matakatifu. Ataingia mahali hapo akiwa amevaa mavazi matakatifu: joho la kitani baada ya nguo ya ndani ya suruali ya kitani na akiwa amevaa kanzu ya kitani na kujifunga mkanda wa kitani” (Walawi 16: 4).


Na Yesu alikuwa "katumwa" kwa nani? Soma...

23 Nao askari walipomsulibisha Yesu, waliyatwaa mavazi yake, wakafanya mafungu manne, kwa kila askari fungu lake; na kanzu nayo. Basi kanzu ile haikushonwa, i


Au ulikuwa hujuwi kuwa Yesu basi lake ni kanzu?
 
Mkuu hilo vazi ni tamaduni/vazi la waarabu,sio kwamba linavaliwa na dini fulani tuu,yeyote anaweza kuvaa haina shida,tatizo watu wamekariri.
Mboma kwenye msiba wa Mwinyi wengi wamevaa kanzu kuliko msiba wa Lowassa ??
 
Back
Top Bottom