Kanzu ni vazi amazing, basi tu...

Kanzu ni vazi amazing, basi tu...

Nikah kwa tafsiri halisi ya Kiarabu ina maana zaidi ya moja lakini kuoa halipo. Kama unaweza kalifanyie 'research". Usingoje kila kitu kufanyiwa.

Huu uzi hauhusiani na hilo, kama unataka kufundishwa zaidi nenda uzi wangu wa maswali kaulize ntakuja kukujibu.

Hapa ukitoka nje ya mada kuwa "brief" tusiharibu uzi wa watu.
Sio kweli usemayo.

Alafu sheria hutangulizwa kuliko lugha.

Hadithi wazi mtume kasema "mwanamke huolewa kwa mambo manne"

Tena hadithi imeaema تنكح kwa وزن (wazni) wa تفعل )tuf'alu) kwa maana mfanywaji.

Kwa hyo tunkahu manake mwanamke ndo huolewa kwa mambo manne.

Ila okey mama angu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli usemayo.

Alafu sheria hutangulizwa kuliko lugha.

Hadithi wazi mtume kasema "mwanamke huolewa kwa mambo manne"

Tena hadithi imeaema تنكح kwa وزن (wazni) wa تفعل )tuf'alu) kwa maana mfanywaji.

Kwa hyo tunkahu manake mwanamke ndo huolewa kwa mambo manne.

Ila okey mama angu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekwambia hiyo si "hadith" ya mtume tena yeyote yule.

Kama unataka kufundishwa zaidi njoo huku ulete maswali yako...


Naona hapa unajitahidi kuharibu uzi wa watu.

Kuwa kidogo kama Muislam, kuwa na rehma kwa wengine. Unachoambiwa elewa.
 
Nimekwambia hiyo si "hadith" ya mtume tena yeyote yule.

Kama unataka kufundishwa zaidi njoo huku ulete maswali yako...


Naona hapa unajitahidi kuharibu uzi wa watu.

Kuwa kidogo kama Muislam, kuwa na rehma kwa wengine. Unachoambiwa elewa.
Kazi yangu nimemaliza.

Kasome صرف vizuri utaelewa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekwambia hiyo si "hadith" ya mtume tena yeyote yule.

Kama unataka kufundishwa zaidi njoo huku ulete maswali yako...


Naona hapa unajitahidi kuharibu uzi wa watu.

Kuwa kidogo kama Muislam, kuwa na rehma kwa wengine. Unachoambiwa elewa.
Kama sio ya mtume ya nani?

Na hii aya pia..?

ولا تنكحوا المشركات حتى يؤمن ولأمة مؤمنة خير من مشركة ولو أعجبتكم ولا تنكحوا المشركين حتى يؤمنوا ولعبد مؤمن خير من مشرك ولو أعجبكم أولئك يدعون إلى النار والله يدعو إلى الجنة والمغفرة بإذنه ويبين آياته للناس لعلهم يتذكرون

[ AL - BAQARA - 221 ]
Wala msiwaoe wanawake washirikina mpaka waamini. Na mjakazi Muumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni. Wala msiwaoze (binti zenu) wanaume washirikina mpaka waamini. Na mtumwa mwanamume Muumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni. Hao wanaitia kwenye Moto, na Mwenyezi Mungu anaitia kwenye Pepo na maghafira kwa idhini yake. Naye huzibainisha Aya zake kwa watu ili wapate kukumbuka.

Aya mwanzo imesema "walaa tankihuu" kwa taa " kwa maana msiwaoe washirikina.

Lakini sehemu insyofata ikasema "walaa tunkihuu almushrikina" kwa taa yanye dhamma kwa maana ya mtendwa ambae ni mwanamke asiolewe na mwanaume.

Laiti kama ingekuwa wanaowana basi aya inhesema tu "WALAA TANKIHUU"..

MAMA ANGU jifunze dini na kiarabu sio unajifunza dini na kizungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli usemayo.

Alafu sheria hutangulizwa kuliko lugha.

Hadithi wazi mtume kasema "mwanamke huolewa kwa mambo manne"

Tena hadithi imeaema تنكح kwa وزن (wazni) wa تفعل )tuf'alu) kwa maana mfanywaji.

Kwa hyo tunkahu manake mwanamke ndo huolewa kwa mambo manne.

Ila okey mama angu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama ana matatizo, na sijui kama Allah angemjaalia Elimu na maarifa ingekuwaje ? Allah ni mjuzi wa kupanga mambo aisee, sasa hapo kwa ujinga wake anaikataa hadithi na sio hiyo tu bali anapima usahihi wa hadithi na udhaifu wake kwa AKILI yake, ana matatizo huyu bi mkubwa.

Yaani hadithi anaikubali kama ikiwa inaendana na akili yake, akili yake ikikataa anaikataa, sasa angeisikia hadithi ya kupaka juu ya Khofu si ndio balaa.

Allah kumnyima Elimu na maarifa ya dini huyu mama ana makusudi yake.
 
Huyu mama ana matatizo, na sijui kama Allah angemjaalia Elimu na maarifa ingekuwaje ? Allah ni mjuzi wa kupanga mambo aisee, sasa hapo kwa ujinga wake anaikataa hadithi na sio hiyo tu bali anapima usahihi wa hadithi na udhaifu wake kwa AKILI yake, ana matatizo huyu bi mkubwa.

Yaani hadithi anaikubali kama ikiwa inaendana na akili yake, akili yake ikikataa anaikataa, sasa angeisikia hadithi ya kupaka juu ya Khofu si ndio balaa.

Allah kumnyima Elimu na maarifa ya dini huyu mama ana makusudi yake.
Mkuu huyu mama dah naonaga niachane nae.

Sasa anasema hakuna kuolewa mwanamke kuna kuowana.

Anakataa lafdhi za Qurani zilizokuja.

Nakuunga mkono huyu mama hajasoma lugha ya kiarabu hajapita kwenye swarfu bali anachojua yeye ni maana ya neno anaangalia tafsiri za neno tena kwa lugha ya kizungu bila ya kujua kuna fani tamu ya swarfu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyu mama dah naonaga niachane nae.

Sasa anasema hakuna kuolewa mwanamke kuna kuowana.

Anakataa lafdhi za Qurani zilizokuja.

Nakuunga mkono huyu mama hajasoma lugha ya kiarabu hajapita kwenye swarfu bali anachojua yeye ni maana ya neno anaangalia tafsiri za neno tena kwa lugha ya kizungu bila ya kujua kuna fani tamu ya swarfu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Bali hata dini hajaisoma, mwenye kusoma dini hawezi kupinga hii maana.

Huyu na kijana mwingine aitwae Mokaze sijui wanasoma wapi maana za nususi za kisheria mpaka unajiuliza hawa wako ulimwengu gani ? Ajabu huwa wabishi mno, ila salama kuwapuuzia tu.
 
Bali hata dini hajaisoma, mwenye kusoma dini hawezi kupinga hii maana.

Huyu na kijana mwingine aitwae Mokaze sijui wanasoma wapi maana za nususi za kisheria mpaka unajiuliza hawa wako ulimwengu gani ? Ajabu huwa wabishi mno, ila salama kuwapuuzia tu.
Aisee mokaze bwana dah.

Ila bora mokaze huzikubalikubali hadithi ila tu analeta taawiylaat nyiingi.

Ila huyu mama mtihani hasa na ndyo kinara wa uislamu humu ndan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechelewa kuiona huu uzi! Nimeuona wakat nishatoka jumaa! Nimeshavua kanzu yangu na koti!! Ningekuwekea kapicha bibie!

Sasa nina singilendi na msuli tu, nakula upepo, nakuna mbupu nashushia na juice ya tende.
 
Leo nimegundua napenda sana mwanaume akivaa kanzu. Kanzu ina usexiness flani hivi sijui kwa sababu asili yangu ni pwani.

View attachment 1346876

Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi flani. Huwa napenda sana Ijumaa nikiwa Kariakoo nikipishana na waislamu na kanzu zao manukato kama yote.

Ila kanzu uwe na “swagg” or else utaonekana kama pipa.

View attachment 1346878

Ladies, ni mimi tu nina maruhani na kanzu au kuna wenzangu huko?

View attachment 1346874




Sent from my iPhone using JamiiForums
Kanzu inampendeza mtu akiwa na hela,vinginevyo ndio zile unakutana nae sehemu mtu unatimua mbio maana huamini kama huyu ninaekutana naye ni mtu au ni nini...
 
Nimechelewa kuiona huu uzi! Nimeuona wakat nishatoka jumaa! Nimeshavua kanzu yangu na koti!! Ningekuwekea kapicha bibie!

Sasa nina singilendi na msuli tu, nakula upepo, nakuna mbupu nashushia na juice ya tende.

Ila Makaveli wewe...

Na picha ya PAC umeweka kwenye avatar...

Yarab nisaidie nishinde vishawishi...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kuna zile nusu kanzu
ukute mtu katoka kibiti kavaa na vile vibaraghashia vya uzi nacho hakijamtosha kichwani, kavaa nusu kanzu bila suruali unaweza kulia hasira.
kanzu ina ntu na ntu kuna watu wakivaa utatamani wasivue

Sent using Jamii Forums mobile app

Umenichekesha sana kuhusu vikofia vya uzi...nimegundua sivipendi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Siku kama ya leo huwa navaa kanzu, kofia na msuli. Bakora tu huwa sipendi kutembea nayo.

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
 
Kanzu pekee ninayoweza kuvaa ni punjab.

Hizo kanzu za magown nawaachia waarabu
 
Back
Top Bottom