dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
Sio vazi la asili bali liliigwa kutoka kwa waarabu miaka Hiyo
Kwanijuavyo jamii zinazotumia kanzu unakuta watawala wao Walikua na urafiki na waarabu wakawa wanapewa zawadi ya mavazi hayo mwisho wasiku yakaoneka ndio mavazi yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanijuavyo jamii zinazotumia kanzu unakuta watawala wao Walikua na urafiki na waarabu wakawa wanapewa zawadi ya mavazi hayo mwisho wasiku yakaoneka ndio mavazi yao
kwao ni vazi la asili
Sent using Jamii Forums mobile app