makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ila Makaveli wewe...
Na picha ya PAC umeweka kwenye avatar...
Yarab nisaidie nishinde vishawishi...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wenyewe huwaambii kituUmenichekesha sana kuhusu vikofia vya uzi...nimegundua sivipendi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bibie zurie nimefanyaje mamii!?
Sasa nitaweka ya nani bibie!?
Mbona unahangaika kuomba dua ngumu hivyo, upo kwenye utelezi unaomba dua usiteleze, omba dua uteleze ili iwe rahisi dua kukubalika!
We muombe rabbi akusaidie ushindwe na vishawishi!!
Kama unaona vishawishi vinaelekea nguvu zidisha maombi vikuzidie nguvu
[emoji23]🤣🤣
Najiona naelekea kula mua uliozamisha meli[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli mtupu chief, mi naamua kula kanzu yangu maftaaah kuna boya anakuja na swali la kipuuzi kwani we muislamu??? Daah huwa wananikata moto kwelii.Mkuu hilo vazi ni tamaduni/vazi la waarabu,sio kwamba linavaliwa na dini fulani tuu,yeyote anaweza kuvaa haina shida,tatizo watu wamekariri.
Aisee mkuu imenibidi nicheke Sana japo!Kanzu huwezi ibania kwenye chu.pi kama unavyofanyaga.
Nani alikudangaya kuwa eti nimeolewa? Kwetu hatuolewi.
Tunaoana.
Kuolewa ni hukohuko kwenu msikojuwa maana ya ndoa ni nini. Koma.
Akivaa kanzu utasema unapenda mwanaume anevaa kaptula..wanawake sijui mnakwama wapi..hamuelewek Kama private part
Sent using Jamii Forums mobile app
Akivaa kanzu utasema unapenda mwanaume anevaa kaptula..wanawake sijui mnakwama wapi..hamuelewek Kama private part
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bi Mkubwa FaizaFoxy mbona ana elimu nzuri tu jamani, soma nyuzi zake za nyumaHuyu mama ana matatizo, na sijui kama Allah angemjaalia Elimu na maarifa ingekuwaje ? Allah ni mjuzi wa kupanga mambo aisee, sasa hapo kwa ujinga wake anaikataa hadithi na sio hiyo tu bali anapima usahihi wa hadithi na udhaifu wake kwa AKILI yake, ana matatizo huyu bi mkubwa.
Yaani hadithi anaikubali kama ikiwa inaendana na akili yake, akili yake ikikataa anaikataa, sasa angeisikia hadithi ya kupaka juu ya Khofu si ndio balaa.
Allah kumnyima Elimu na maarifa ya dini huyu mama ana makusudi yake.
kama ndugu zetu Wahaya wanao utamaduni maridhawa wa kuvaa kanzu hasa kwenye matukio muhimu kama vile sendoff. Ndoa n.k me nakumbuka mzee wangu alikuwa nayo kanzu yake maalum kwa ajili ya shughuli kama hizo.Leo nimegundua napenda sana mwanaume akivaa kanzu. Kanzu ina usexiness fulani hivi sijui kwa sababu asili yangu ni Pwani.
View attachment 1346876
Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi fulani. Huwa napenda sana Ijumaa nikiwa Kariakoo nikipishana na waislamu na kanzu zao manukato kama yote.
Ila kanzu uwe na “swagg” or else utaonekana kama pipa.
View attachment 1346878
Ladies, ni mimi tu nina maruhani na kanzu au kuna wenzangu huko?
View attachment 1346874
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂 Nimeiona kanzu ya chattleLeo nimegundua napenda sana mwanaume akivaa kanzu. Kanzu ina usexiness fulani hivi sijui kwa sababu asili yangu ni Pwani.
View attachment 1346876
Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi fulani. Huwa napenda sana Ijumaa nikiwa Kariakoo nikipishana na waislamu na kanzu zao manukato kama yote.
Ila kanzu uwe na “swagg” or else utaonekana kama pipa.
View attachment 1346878
Ladies, ni mimi tu nina maruhani na kanzu au kuna wenzangu huko?
View attachment 1346874
Sent from my iPhone using JamiiForums
😀😀😀sawa mkuu ni Tz ya viwanda ndo imetoa huo mtokoMkuu hizo emoji zitatupeleka Mabwepande bure[emoji23][emoji23]. Mwenzio sina mb*pu za kuminywa na pliers
ha ha ha ukiingia jf unaweza cheka peke ako tena kwa sauti ukaonekana chizikuna zile nusu kanzu
ukute mtu katoka kibiti kavaa na vile vibaraghashia vya uzi nacho hakijamtosha kichwani, kavaa nusu kanzu bila suruali unaweza kulia hasira.
kanzu ina ntu na ntu kuna watu wakivaa utatamani wasivue
Sent using Jamii Forums mobile app
Katumwa kaa tamaduni za Kiarabu haka....kachekiwe uraia haka kamamaHuyajuwi mambo.
Mwanamme kanzu.
Katumwa kaa tamaduni za Kiarabu haka....kachekiwe uraia haka kamama
Sent using Jamii Forums mobile app