Kanzu ni vazi amazing, basi tu...



Na Yesu alikuwa "katumwa" kwa nani? Soma...

23 Nao askari walipomsulibisha Yesu, waliyatwaa mavazi yake, wakafanya mafungu manne, kwa kila askari fungu lake; na kanzu nayo. Basi kanzu ile haikushonwa, i


Au ulikuwa hujuwi kuwa Yesu basi lake ni kanzu?
 
Mkuu hilo vazi ni tamaduni/vazi la waarabu,sio kwamba linavaliwa na dini fulani tuu,yeyote anaweza kuvaa haina shida,tatizo watu wamekariri.
Mboma kwenye msiba wa Mwinyi wengi wamevaa kanzu kuliko msiba wa Lowassa ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…