TANZIA Kaoge afariki dunia

maskini..
angekubali tu akaanza kutumia vidonge.

kapumzike kijana.
waswahili wataanza kukuchamba hapa ilhali huwezi kuwajibu
Mungu ndo wa kukuhumu sio binadamu mwenzio asiekamilika pia.
Inaonesha wewe umeelewa mada, mimi sijaelewa... Pachanga
 
Sio unafki ni hulka ya binadamu wote. Nduguyo akiwa mzinzi na akafa hutasikitika?? Dhambi/matendo yake hayamuondolei ubinadamu alionao bado ana sifa ya kua binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…