TANZIA Kaoge afariki dunia

Hawa mashoga Ukimwi utawamaliza.

Inasikitisha sana, infact mashoga ni mojawapo ya makundi ambayo yako kwenye hatari kubwana kupata maambukizi ya ukimwi (high risk profile) kwa mujibu wa Takwimu Za TACAIDS. Makundi mengine ni machangudoa, madereva wa Magari ya msafa marefu, n.k Mwenyezi Mungu azidi kutunusuru zidi ya mabaya yote siku zote!
 
Na alale alipojiandalia.....
Angekubali tu kula vidonge akae kidogo!
 
Mama chacha, hujambo?[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tuko wengi na sasa badala ya ku deal na mifugo wengi wetu tumeamua kuwekeza kwenye biashara japo bado wengine wanaamini wingi wa ng'ombe ndiyo utajiri so wanaishi kwa kuhama hama hadi South Africa kwa Madiba wapoooooo

Ndo maana washamba wanaongezeka mijini sababu ya nyinyi kuja town nyinyi mlitakiwa kubaki huko huko porini kwanza mpate akili kama sisi..mmeharakisha sana kuja mjini.. ona eti hadi tunaitwa wanaume wa dar sababu yenu. Ujinga gani huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…