Kaokoka lakini vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki. Nifanye nini?

Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.

Hebu wekeza akili yako kwenye kutafuta pesa kwanza...

Kama 60,000 tu ndio inakufanya uanzishe uzi, basi ujue una hali mbaya...
 
Bro she is using you in her favour, achana nae mbona vitumbua ni vingi sana mtaani.

Au hakuna madogo waliotoka JKT mtaani kwenu?
 
60k unalalamika hadi jf 🀣🀣🀣🀣
 
amekuona ww ni ZOBA.hapo kuna mwamba anamega kisela na ww unachunwa kiboya.
 
Mkuu ulitaka jamaa ateketeze 200k ndio aje kuleta uzi, kwann asishtuke mapema?

Kwa kuwa pesa ni ngumu kwake alitakiwa ashtuke tangu kizinga cha kwanza...

Sasa kashapigwa za uso, pesa kapoteza na tunda atakuja kupewa "mpendwa katika bwana"...
 
Hakutaki, jikate mapema tu. Sio kila 'ke wakufakamia, utajizolea mambo hautaamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…