Kapombe kucheza leo 12/7/2020?

Kwenye mazoezi ya jana kocha aliwatenga wachezaji watano akiwemo Deo na kichuya akawataka wafanye mazoezi na kocha wa viungo akachukia akaenda kukaa kwenye gari
Du noma sana,sema deo sasa ivi amekua mzito kdg
 
Kapombe kuanza leo uhakika ila Deo Kanda inawezekana asiwepo hata benchi
Alokwambia kapombe anaanza leo nani? Kapona lini, mazoezi ya peke yake kafanya lini,ya pamoja na wachezaji wenzie kafanya lini na kikubwa zaidi match fitness hawezi kuwa nayo si mna kikosi kipana ninyi? tuwekeeni pazia lile shamte muone!
 
Alokwambia kapombe anaanza leo nani? Kapona lini, mazoezi ya peke yake kafanya lini,ya pamoja na wachezaji wenzie kafanya lini na kikubwa zaidi match fitness hawezi kuwa nayo si mna kikosi kipana ninyi? tuwekeeni pazia lile shamte muone!
Mbona mwoga hivyo jana kafanya mazoezi na list imeshatoka kapangwa
 
Reactions: Tui
Alokwambia kapombe anaanza leo nani? Kapona lini, mazoezi ya peke yake kafanya lini,ya pamoja na wachezaji wenzie kafanya lini na kikubwa zaidi match fitness hawezi kuwa nayo si mna kikosi kipana ninyi? tuwekeeni pazia lile shamte muone!


Kapombe huyo hapo....!!
 
 
Alokwambia kapombe anaanza leo nani? Kapona lini, mazoezi ya peke yake kafanya lini,ya pamoja na wachezaji wenzie kafanya lini na kikubwa zaidi match fitness hawezi kuwa nayo si mna kikosi kipana ninyi? tuwekeeni pazia lile shamte muone!
Watu kujifanya wajuaji kumbe wapuuzii tu,unajifanya unajia kila kitu kuliko kocha
 
Ulikuwa unapiga sana domo humu,hiyo 4:1 kwenye avatar yako ndo idadi halisi ya mechi ya leo,kila mda uwe unaangalia hiyo avatar yako kukumbukia kipigo cha simba
mkuu mmetukata maini aseeh kwa mpira leo yanga tumezingua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…