Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoka hawa hawa au wengine mkuuMkuu nitishie aina yoyote ya nyoka nakamata kichwa chake isipokua kinyonga tu😁
Duh shida sana.View attachment 3121914
Koboko huwa hana utani.
Ukipata fimbo nene ya kutosha(strong) na ukajiamini, huyu mdudu huwezi kumkabili kwa kumtandika kichwani au popote akitaka kukuuma?View attachment 3121914
Koboko huwa hana utani.
Ni kweli kabisa mkuu ila tumeishi na watu wa maeneo ya urambo sehemu moja kama unaenda kaliua kuna watu hawana uoga kabisa.Mkuu Koboko hana mazoea ni kiumbe hatari.
Huwa ana Jump si umemuona kwenye hiyo Video?!Ukipata fimbo nene ya kutosha(strong) na ukajiamini, huyu mdudu huwezi kumkabili kwa kumtandika kichwani au popote akitaka kukuuma?
Je, si kweli hofu tu ndio inafanya anatuonea?
Nilichogundua kuhusu hawa Viumbe ni kwamba mchana wa jua kali ndio wanakuwa wakali sana ni vigumu kusikia kuwa Koboko kamgonga Mtu usiku.Ni kweli kabisa mkuu ila tumeishi na watu wa maeneo ya urambo sehemu moja kama unaenda kaliua kuna watu hawana uoga kabisa.
Sasa nilishindwa kujua ni madawa au kwasababu wengine madogo tu miaka kama 12, wanakupa maelekezo wapi utampata mida gani anapendelea kutembea na namna gani anakamtwa kwa biashara na wazee wa mitishamba.
Kitu kilicho nifanya nikaja kuamini baada ya kuanza kufatilia kipindi cha Simon channel ya National Geographic Wild namna anavyomkamata na tahadhari kubwa sana anazochukua kumkabili hadi kumkamata.
(Very interesting bush kule anachomewa dawa tu analegea mlevi akasomeee wabongo kwa vitu hivyo mmh 🙌🙌) Nilidata.
Na wazee (expert wa pori) wanakwambia pia usiku mara nyingi anajishtukia kwasababu kuna viumbe wengine nao wanamtegemea kama msosi.Nilichogundua kuhusu hawa Viumbe ni kwamba mchana wa jua kali ndio wanakuwa wakali sana ni vigumu kusikia kuwa Koboko kamgonga Mtu usiku.
Nilikutana na Swila mmoja mkubwa Mweusi katikati ya Katavi karibu na pale alipotupwa Sativa ilikuwa 2013 yule Swila akagoma kutoka Barabani ikanibidi nisimame nikazima Gari ndio akaondoka.Na wazee (expert wa pori) wanakwambia pia usiku mara nyingi anajishtukia kwasababu kuna viumbe wengine nao wanamtegemea kama msosi.
Ila ninachomkubali ni kwamba ana tabia ya ustarabu mmekutana mazingira hujamuona anakupotezea na mishe zako, siyo nyoka aina ya swila atataka mpaka msumbuane mmoja amkatae mwenzake mtikasane walau kidogo.
Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo 2000's tulikuwa tunaishi mazingira ambayo nyumba ilikuwa mstari wa mwisho karibu kabisa na mlima yani mwanzo kabisa wa kuanza kupandwa huo mlima kwahiyo kuna msitu na mawe yenye kutengeneza mapango kulikuwa na project ya kutotolesha vifaranga.Mimi na nyoka ni vitu viwili tofauti kabisa, nakiri kuwa kama mwanamke pindi nikimuona nyoka, nawachukia na kuwaogopa
Huyu Mwanamama wa Kinaijeria mwenye Travel Blogger anayoenda kwa Jina la Go.Ebaide anazunguka Afrika kwa kutumia Pikipiki na sasa yuko Tanzania wakati akitokea Kigoma kuelekea Mpanda amekoswakoswa kugongwa na Koboko mwenye hasira sana aisee!!..
Anabahati sana aisee!!!...
View: https://youtu.be/vNfcf5-FX5Q?si=cNb8ezJGtIsQJvNC
View: https://youtu.be/_i0ABGNY-_k?si=tSKOniq_7KCAEqDD