OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Mambo ya kusikia mara nyingi huwa yameongezwa chumvi. Nyoka anapojinyanyua ili aone kwa macho yake hafifu, anuse kwa kutoa ulimi wake nje aweze kujua nini kinachojiri - ni adui au ni chakula/mawindo. Kama ni adui, nyoka anajificha chap' au anakimbia au kama ni karibu mno (taken by surprise) anajiweka tayari mkao wa kupambana. Kumbuka nyoka hana uwezo wa kuona mbali na hutegemea sana uwezo wake wa kusikia vibrations kwa kutumia tumbo lake.Nasikia huyu nyoka ni kichaa hua anakukimbiza sasa hapo vipi mboni kaishia kujinyanyua tu?