Kaponea chupu chupu kugongwa na Koboko mkali

Kaponea chupu chupu kugongwa na Koboko mkali

Nilichogundua kuhusu hawa Viumbe ni kwamba mchana wa jua kali ndio wanakuwa wakali sana ni vigumu kusikia kuwa Koboko kamgonga Mtu usiku.
Usiku koboko hapendi kutembea kwaajili ya usalama wake, anaogopa kuliwa na bundi.
Mchana wa jua Kali anakua full charged kwasababu jamii ya nyoka ni damu baridi.
 
cf41423d969147dba19e6711c95a2d88.jpg

Jamaa kapambana na Koboko hadi kamuua.
 
Huyu Mwanamama wa Kinaijeria mwenye Travel Blogger anayoenda kwa Jina la Go.Ebaide anazunguka Afrika kwa kutumia Pikipiki na sasa yuko Tanzania wakati akitokea Kigoma kuelekea Mpanda amekoswakoswa kugongwa na Koboko mwenye hasira sana aisee!!..

Anabahati sana aisee!!!...

View: https://youtu.be/vNfcf5-FX5Q?si=cNb8ezJGtIsQJvNC



View: https://youtu.be/_i0ABGNY-_k?si=tSKOniq_7KCAEqDD


Anabahati sana aisee!!!...
Yule mzungu wa baiskeli ya kuchegama naye alikutana na nyoka ukanda huo sijui raia wa huko wanaishije na hao wadudu
 
black mamba?

ila naskia puff adder ndo balaa, anastrike haraka mno, yupo tanzania?
Puff adder ni wengi sana hapa Tz (ni nyoka mpole na hana mwendo wa haraka au kukimbia) na kule nyanda za juu kusini hujulikana zaidi kama Moma. Sumu yake ni myotoxic - huozesha misuli ila nyama yake ni tamu sana kuliko samaki.
 
Back
Top Bottom