Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Tujiandae kupokea CHAI za kutosha... mie nimeshakaa mkao..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku koboko hapendi kutembea kwaajili ya usalama wake, anaogopa kuliwa na bundi.Nilichogundua kuhusu hawa Viumbe ni kwamba mchana wa jua kali ndio wanakuwa wakali sana ni vigumu kusikia kuwa Koboko kamgonga Mtu usiku.
Nadhani hiyo ni Gopro.Ngoja kwanza, kwanza hatujaendelea naomba tujadili hili:
1. Kuna Basi moja nimeliona la rangi ya buluu Limeandikwa Mashujaa Football Club. Hivi Mashujaa kumbe wana basi zuri
2. Ni aina gani ya Lenzi anayotumia huyo mwanamama, maana naona inabendisha watu/vitu balaa!!
Nitaleta hiyo habari.....ila naamini ni Mungu ndiye alieniokoaMkuu ilikuwaje?!
Ngoja ntulie nichekUmeiangalia hiyo Video Koboko alivyoruka.
kaboko kwa kiingereza ni nini?Huyo Mwanamama anabahati sana sana.
black mamba?View attachment 3121914
Koboko huwa hana utani.
Kweli ni kiumbe hatari tena sana; lakini Panic yako ndo itashikilia mustakabali wa usalama wako.- Don't panic and don't flirt.Mkuu Koboko hana mazoea ni kiumbe hatari.
Huyu Mwanamama wa Kinaijeria mwenye Travel Blogger anayoenda kwa Jina la Go.Ebaide anazunguka Afrika kwa kutumia Pikipiki na sasa yuko Tanzania wakati akitokea Kigoma kuelekea Mpanda amekoswakoswa kugongwa na Koboko mwenye hasira sana aisee!!..
Anabahati sana aisee!!!...
View: https://youtu.be/vNfcf5-FX5Q?si=cNb8ezJGtIsQJvNC
View: https://youtu.be/_i0ABGNY-_k?si=tSKOniq_7KCAEqDD
Yule mzungu wa baiskeli ya kuchegama naye alikutana na nyoka ukanda huo sijui raia wa huko wanaishije na hao waduduAnabahati sana aisee!!!...
Puff adder ni wengi sana hapa Tz (ni nyoka mpole na hana mwendo wa haraka au kukimbia) na kule nyanda za juu kusini hujulikana zaidi kama Moma. Sumu yake ni myotoxic - huozesha misuli ila nyama yake ni tamu sana kuliko samaki.black mamba?
ila naskia puff adder ndo balaa, anastrike haraka mno, yupo tanzania?
Wapo watu wenye hulka ya kupenda adventures.Hivi hana GPS hadi aulize ulize, huyu nae akili ya old stone age, primitive, miaka hii ni kutembea nchi zote hizo kwa pikipiki?