Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayataanguka yameshajifunza sasa hivi yatalinda madaraka kwa udi na uvumbaMafisadi yameanza kurudi ili yaibe vzr..haya jui kuwa anguko lao li karibu sana.
#MaendeleoHayanaChama
Team itakamilika muda sio mrefu.wanarudi kwa kasi.......
Kila la kher mkuu wetuSafi, nami 2025, lazima niombe ridhaa ya chama, kugombea ubunge
Ushindi wa Karamagi kunyakua Uenyekiti wa CCM Kagera, ni dalili kuwa ccm inarudi ilikokuwa 2010-2015.
Hkn mziwe na mawazo hayo kila mtu Ana uwezo wa kuomba kugonbeaa siyo kila kitu timu msoga siyo sawaUshindi wa Karamagi kunyakua Uenyekiti wa CCM Kagera, ni dalili kuwa ccm inarudi ilikokuwa 2010-2015.
Eti mkuu alfi chadema wanamuita shujaa dah [emoji1787]Halafu team sukumagang ikionekana hali ni tete kweli kweli! Ukisikia kutesa kwa zamu, ndiyo huku sasa!
Leo hii akina Bashiru Ali ndiyo wamekuwa watetezi wa wakulima! Ila alipokuwa Katibu Mkuu wa chama, alichokumbuka ni kumtetea tu Mwenyekiti na chama chake.
Siasa ni mchezo mchafu mkuu.Eti mkuu alfi chadema wanamuita shujaa dah [emoji1787]