Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kwa jero tu unakula nyama geto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ilikuwa zamani maana sasa hivi bei ya ngozi mbichi si chini ya 20kBro Mshana hujui siku hizi ngozi nayo ni dili tena inaliwa kama supu? Ni hivi, wanaibanika kutoa yale manyoya then inashemshwa na kutanuka, alafu inakatwa katwa vipande. Ukichanganyiwa na kongoro au utumbo huwezi kuigundua haha
Mweeee,Ha ha ha nadhani alikwisha fariki halafu akafa kabisa mama Mdigo
Kwaiyo huu mzigo wa kwio ndo unaliwa kwenye tiles bila ya sahani??
Ohooo basi yaishe 😂Wataharisha mpaka vya ndani [emoji23]
Hii kitu inapatikana mbagala rangi tano😄😄Bro Mshana hujui siku hizi ngozi nayo ni dili tena inaliwa kama supu? Ni hivi, wanaibanika kutoa yale manyoya then inashemshwa na kutanuka, alafu inakatwa katwa vipande. Ukichanganyiwa na kongoro au utumbo huwezi kuigundua haha
Du. Nimecheka kweli kweli hiyo namba 4, mzigo wa kwio. Halafu sijaelewa ni mchanganyiko gani hasa. Kuna moja, ni trademark ya vilabu vya pombe za kienyeji za uswazi, hasa Dar. Unakuta nyama ya ng'ombe au niseme pande la futa kubwa (sijui ni ya sehemu gani) inawekwa kwenye jiko la kuchomea. Mnunuaji akifika anakatiwa kipande. Inanukia vizuri sana wakati inachomwa. Ukienda vilabu vya Kawe, Manzese etc hukosi wachomaji wa hii nyama-futa.Njaa haina baunsa [emoji23]
Hivi kuna Mbagala rangi tatu na tano?Hii kitu inapatikana mbagala rangi tano😄😄