Kuna sikut umetoka site kongowe mama ntilie alipika chakula sicho kapikia mafuta ya moo. Niashindwa kukila nkasema ntakula jioni pale mbagara naonaga supu za ukweli sana watu wengi wanazungukia.Supu ya mapupu ni maarufu sana uswahilini huwa ina mchanganyiko wa vitu kadhaa kichwa,ngozi,mapafu,bandama yaaani mavitu flani yale ambayo hubaki ng'ombe akichinjwa watu hawali au havina soko.View attachment 2413230
Nkasema nimeshindwa, kuna mwamba jirani yangu akasema lete huku uone inavyoshukaa. Jamaa anakula na jasho limemtoka. [emoji23]Kuna sikut umetoka site kongowe mama ntilie alipika chakula sicho kapikia mafuta ya moo. Niashindwa kukila nkasema ntakula jioni pale mbagara naonaga supu za ukweli sana watu wengi wanazungukia.
Kufika kuina lile wese lilotanda juu na ile harufu na zile chapati nikamwambia kijana tuagize hapa hapa. Nikakaa kwenye benchi nkamwambia nipe ya buku jero. Muuzaji kashangaa akasema finyango jero jero huwezi maliza nkamwambia weka nzuri.
Aisee ile nimepiga chapati nashushia na mchuzi yale mafuta nkasema tobaaa nimevamia kambi siyo.. nkasema ngoja nile nyama tuuu. Aisee nimetafuna 10 minutes ngoma ipo pale pale. Nkamwambia mama hizi nyama gani? Ndo nkajua mapupu ni na bandama.
Nkasema nimeshindwa, kuna mwamba jirani yangu akasema lete huku uone inavyoshukaa. Jamaa anakula na jasho limemtoka.
Aisee tembea uone.
Kuchukua dawa na kuchanganya na kitu chenye gesi ina madhara makubwa, wataalamu wanasema kuwa kunywa dawa na soda kama fanta au Coca-Cola inaweza kukusababishia kifo kutokana tu ongezeko kubwa la gesi.
Kaleji. Nilikuwa nikizila sana wakati niko Bombay. So yummy [emoji39]Siku moja ujaribu na kende za mbuzi [emoji23]
Jamani jamani
Tunaenda kwa muuza supu tunanunua mapupu tunaenda nyumbani kutengeneza rosti sio poa yani kama vile tunakula mainiKuna sikut umetoka site kongowe mama ntilie alipika chakula sicho kapikia mafuta ya moo. Niashindwa kukila nkasema ntakula jioni pale mbagara naonaga supu za ukweli sana watu wengi wanazungukia.
Kufika kuina lile wese lilotanda juu na ile harufu na zile chapati nikamwambia kijana tuagize hapa hapa. Nikakaa kwenye benchi nkamwambia nipe ya buku jero. Muuzaji kashangaa akasema finyango jero jero huwezi maliza nkamwambia weka nzuri.
Aisee ile nimepiga chapati nashushia na mchuzi yale mafuta nkasema tobaaa nimevamia kambi siyo.. nkasema ngoja nile nyama tuuu. Aisee nimetafuna 10 minutes ngoma ipo pale pale. Nkamwambia mama hizi nyama gani? Ndo nkajua mapupu ni na bandama.
Nkasema nimeshindwa, kuna mwamba jirani yangu akasema lete huku uone inavyoshukaa. Jamaa anakula na jasho limemtoka.
Aisee tembea uone.
Hizo Wazungu wanakula kwa sana tu...Zenji?[emoji39][emoji39][emoji39]