Karani: Ongezeko la mshahara(23.3%) litaniwezesha kumjengea baba yangu nyumba na kumnunulia gari. Bulembo asema mishahara haikuongezwa miaka 6


Karani taabani anapumilia kwenye mtungi wa Oksijeni.
Madaktari wasipochukua hatua za kumpa rufaa kwenda MNH anaweza kupoteza maisha.

Wanasiasa sio watu wa mchezo mchezo unaweza kufa bila kelele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…