Karani wa sensa aporwa kishikwambi Arusha Ungalimited

Karani wa sensa aporwa kishikwambi Arusha Ungalimited

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
KARANI WA SENSA APORWA KISHIKWAMBI USIKU, MUMEWE AJERUHIWA

KARANI wa Sensa ya Watu na Makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango ameporwa kishikwambi chake wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum jana usiku huku mume wake akijeruhiwa.

Akizungumza na mwandishi wa HabariLEO, Mratibu wa sensa ya watu na makazi katika Jiji la Arusha, Maneno Maziku amesema Kiwango aliporwa kishikwambi usiku wakati akienda kuhesabu makundi maalum huku mume wake akijeruhiwa kichwani.

Amesema baada ya tukio hilo Karani huyo alipewa kishikwambi kingine na anaendelea na kazi. "Ni kweli aliporwa kishikwambi na mume wake kujeruhiwa kichwani lakini ameshapewa kishikwambi kingine anaendelea na kazi lakini pia majeruhi hali yake inaendelea vizuri,” amesema Maziku.

Chanzo: Habarileo

1661261486919.jpg
 
Wahuni wa hapo ungalelo ni wahuni wa kizamani sana. Sasa hiyo tablet ataifanyia nini wakati ipo locked kwa program tofauti na ya sensa?
Itakua hawakujua mkuu hao ukikutana nao wanabeba ulicho nacho hawachagui, itakua uko mbeleni aiitupa maana awezu kuiuza popote
 
KARANI WA SENSA APORWA KISHIKWAMBI USIKU, MUMEWE AJERUHIWA

KARANI wa Sensa ya Watu na Makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango ameporwa kishikwambi chake wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum jana usiku huku mume wake akijeruhiwa.

Akizungumza na mwandishi wa HabariLEO, Mratibu wa sensa ya watu na makazi katika Jiji la Arusha, Maneno Maziku amesema Kiwango aliporwa kishikwambi usiku wakati akienda kuhesabu makundi maalum huku mume wake akijeruhiwa kichwani.

Amesema baada ya tukio hilo Karani huyo alipewa kishikwambi kingine na anaendelea na kazi. "Ni kweli aliporwa kishikwambi na mume wake kujeruhiwa kichwani lakini ameshapewa kishikwambi kingine anaendelea na kazi lakini pia majeruhi hali yake inaendelea vizuri,” amesema Maziku.

Chanzo: Habarileo

View attachment 2332504
Kule alitakiwa aende na ukinzi wa migambo sio mume wake,kwani wanalipwa wote na mume hadi akamlinde usiku?

Matokeo mume ameumizwa usiku ,mwanamke amepewa kishkwambi kingine na kaendelea na Kazi.
 
KARANI WA SENSA APORWA KISHIKWAMBI USIKU, MUMEWE AJERUHIWA

KARANI wa Sensa ya Watu na Makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango ameporwa kishikwambi chake wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum jana usiku huku mume wake akijeruhiwa.

Akizungumza na mwandishi wa HabariLEO, Mratibu wa sensa ya watu na makazi katika Jiji la Arusha, Maneno Maziku amesema Kiwango aliporwa kishikwambi usiku wakati akienda kuhesabu makundi maalum huku mume wake akijeruhiwa kichwani.

Amesema baada ya tukio hilo Karani huyo alipewa kishikwambi kingine na anaendelea na kazi. "Ni kweli aliporwa kishikwambi na mume wake kujeruhiwa kichwani lakini ameshapewa kishikwambi kingine anaendelea na kazi lakini pia majeruhi hali yake inaendelea vizuri,” amesema Maziku.

Chanzo: Habarileo

View attachment 2332504


Kishikwambi ni kiswahili??
 
Back
Top Bottom