Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #21
Ni kigogoKishikwambi ni kiswahili??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kigogoKishikwambi ni kiswahili??
Ipad hizo zimetolewa msaada na wasouth Korea mzeeAmeona uvivu kuhesabu watu
Tayari Tozo yangu iliyonunua I Pad imepigwa
Karani, Karani, Karani, Nakuita tena Karani wa Sensa mbona umejigawia tozo bila utaratibu wa kibajeti kwa kukimbia na I Pad ya serikali
Sio mambo ya kuchekesha ni staili mpya ya vijana kupiga Mali za serikali baada ya kukaa kitaa kwa muda mrefu
Hao ndio vijana wanaoitwa Dot. com
Kuna Dada mmoja alipita kitaa kunihesabu yaani ni mzito balaa, Nikamuuliza tangu asubuhi umepita nyumba tatu tu na yangu ni ya nne, Ulicheck muda saa tano asubuhi, Bado nyumba zaidi ya ishirini
Ameamua kujigawia mapema I Pad baada ya kuona hana uwezo wa kuhesabu watu kwa kuuliza maswali mia moja kila mtu
Hao ndio Graduate waliopo kitaa, Ukizubaa tu umepigwa
Kijana amefikiria idadi ya maswali atakayouliza watu na muda atakaotumia akaona bora ajigawie I Pad ya serikali kama malipo
Kwa staili hata wakijua idadi ya watu kuna Maendeleo yatapatikana kweli, siku ya kwanza tu I Pad imepigwa na Karani Sasa hiyo keki ya Taifa si itaishia huko huko juu
Huko wanalea sana ujingaHiyo unga ltd wanaleana sana, sehemu zingine Arusha ujinga huu umekomeshwa
Wanawaendekeza sioHiyo unga ltd wanaleana sana, sehemu zingine Arusha ujinga huu umekomeshwa
Jina tu lenyewe linatishia amani😄Barabara ya Unga ltd nimeishia tu NSK hosp.. huko uswazini kwa waporaji sipajui 😂
Sakina sijawahi porwa., Njiro nikija ibiwa/ porwa ndio nitaona Arusha ni hovyo.. but for now Arusha is my second home 😍
1st kwa wazazi wewe 😂😂😂Jina tu lenyewe linatishia amani😄
2nd? 1st ni Mo au?
Vijana wa siku hizi ni wajanja sana. Watatoa code zote na kuendelea kutumia kishkwambi kama kawaida.Hivyo vina code atakaenunua uhujumu uchumi una muhusu