Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jilete sasa dingiWala hawanitishagi wanaonea zaid wanawake.
Mmoja wa uliowaona ni mimi. Hapa mitaa ya Engosheraton😀😀😀unga limited kuna siku nilipita mchana kuna nyumba zimechoka balaa na watu wamechoka balaa kwa pombe na madawa , wamejianika nje ya kila nyumba jichanganye uulize njia😀😀umeyakanyaga
Olololo😀😀in fido vato voiceItaua ni mitaa ya cheka ung'atwe.
😀😀nyie ni balaaMmoja wa uliowaona ni mimi. Hapa mitaa ya Engosheraton
Mamaee ukidakwa umeumiaIpoje hiyo mkuu maana kuna lisimu hapa ungalimi nimeuziwa elf 15 ila ni li smartphone likubwa jipyajipya halifanani na hiyo bei au ndo nimeshaingia kwenye 18 za chief hengaya
Kunae cheka ung'wate, mchongomani, madadii. Ukifika huko lazima ukalishwe.Itaua ni mitaa ya cheka ung'atwe.
Lazima uyakanyage😀😀Kunae cheka ung'wate, mchongomani, madadii. Ukifika huko lazima ukalishwe.
Nyie hii nchi watu hawapendi maendeleoKARANI WA SENSA APORWA KISHIKWAMBI USIKU, MUMEWE AJERUHIWA
KARANI wa Sensa ya Watu na Makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango ameporwa kishikwambi chake wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum jana usiku huku mume wake akijeruhiwa.
Akizungumza na mwandishi wa HabariLEO, Mratibu wa sensa ya watu na makazi katika Jiji la Arusha, Maneno Maziku amesema Kiwango aliporwa kishikwambi usiku wakati akienda kuhesabu makundi maalum huku mume wake akijeruhiwa kichwani.
Amesema baada ya tukio hilo Karani huyo alipewa kishikwambi kingine na anaendelea na kazi. "Ni kweli aliporwa kishikwambi na mume wake kujeruhiwa kichwani lakini ameshapewa kishikwambi kingine anaendelea na kazi lakini pia majeruhi hali yake inaendelea vizuri,” amesema Maziku.
Chanzo: Habarileo
View attachment 2332504
Mtu kachoka zake unaanza kumuuliza maswali ya kiwaki, au unaenda kwa wahuni kuwahesabu wameshalewa na wengine mateja unategemea nini😀😀karani kama wa kike anaweza ata kubakwaNyie hii nchi watu hawapendi maendeleo
Mkuu rodilofa ulipata kazi, Kuna bar wanahitaji muuza vinywaji unakuwa kauntaMtu kachoka zake unaanza kumuuliza maswali ya kiwaki, au unaenda kwa wahuni kuwahesabu wameshalewa na wengine mateja unategemea nini[emoji3][emoji3]karani kama wa kike anaweza ata kubakwa
Mshahara laki kwa mweziMkuu rodilofa ulipata kazi, Kuna bar wanahitaji muuza vinywaji unakuwa kaunta
Huwezi kukosa chenji za WaleviMshahara laki kwa mwezi
Viongozi ndohawapendiNyie hii nchi watu hawapendi maendeleo
Hiyo mibangi, ugoro, gongo na gundi wanapata wap nguvu You kubaka aiseee.Mtu kachoka zake unaanza kumuuliza maswali ya kiwaki, au unaenda kwa wahuni kuwahesabu wameshalewa na wengine mateja unategemea nini😀😀karani kama wa kike anaweza ata kubakwa
We jichanganye tu ndio utajuaHiyo mibangi, ugoro, gongo na gundi wanapata wap nguvu You kubaka aiseee.
Machalii wa r chuga Sijajua wana matatizo au ni bangi. Labda maapeche alolo zimewasararua katika zile.Ngoja nipige mashimo.Kunae cheka ung'wate, mchongomani, madadii. Ukifika huko lazima ukalishwe.