Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Hahaaa kumbe, nilisahau😂1st kwa wazazi wewe 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa kumbe, nilisahau😂1st kwa wazazi wewe 😂😂😂
😂😂😂 kaa kwa utulivuHahaaa kumbe, nilisahau😂
Sawa Debora😂😂😂😂 kaa kwa utulivu
Kishikwambi ni nini?Karani wa Sensa ya Watu na makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango, ameporwa kishikwambi chake, wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum....
Hiyo unga ltd wanaleana sana, sehemu zingine Arusha ujinga huu umekomeshwa
NaamWanawaendekeza sio
Wabongo wataflash systemHivyo vina code atakaenunua uhujumu uchumi una muhusu
HahahaAmeona uvivu kuhesabu watu
Tayari Tozo yangu iliyonunua I Pad imepigwa
Karani, Karani, Karani, Nakuita tena Karani wa Sensa mbona umejigawia tozo bila utaratibu wa kibajeti kwa kukimbia na I Pad ya serikali
Sio mambo ya kuchekesha ni staili mpya ya vijana kupiga Mali za serikali baada ya kukaa kitaa kwa muda mrefu
Hao ndio vijana wanaoitwa Dot. com
Kuna Dada mmoja alipita kitaa kunihesabu yaani ni mzito balaa, Nikamuuliza tangu asubuhi umepita nyumba tatu tu na yangu ni ya nne, Ulicheck muda saa tano asubuhi, Bado nyumba zaidi ya ishirini
Ameamua kujigawia mapema I Pad baada ya kuona hana uwezo wa kuhesabu watu kwa kuuliza maswali mia moja kila mtu
Hao ndio Graduate waliopo kitaa, Ukizubaa tu umepigwa
Kijana amefikiria idadi ya maswali atakayouliza watu na muda atakaotumia akaona bora ajigawie I Pad ya serikali kama malipo
Kwa staili hata wakijua idadi ya watu kuna Maendeleo yatapatikana kweli, siku ya kwanza tu I Pad imepigwa na Karani Sasa hiyo keki ya Taifa si itaishia huko huko juu
Njoo huku ngarna basi kama sijakuibaBarabara ya Unga ltd nimeishia tu NSK hosp.. huko uswazini kwa waporaji sipajui 😂
Sakina sijawahi porwa., Njiro nikija ibiwa/ porwa ndio nitaona Arusha ni hovyo.. but for now Arusha is my second home 😍
Katika sehemu ambazo sikanyagi ndo huko,Hiyo unga ltd wanaleana sana, sehemu zingine Arusha ujinga huu umekomeshwa
Itakuwa na nyingine wanafanya siri, ila kuna baadhi ya sehemu mgambo walimwagwa wengi tu. Huko ungalimtd, ngarenaro na sehemu nyingine za hatariningeshangaa zoezi liishe hv hv bila mtu kuporwa....si kwa arsh hii
Kuliko kuishi unga ltd bora urudi kijijini kabisaKatika sehemu ambazo sikanyagi ndo huko,
Huko wanawezana wenyewe kwa wenyewe
Sakina na Njiro sio rahisi kuporwa.Barabara ya Unga ltd nimeishia tu NSK hosp.. huko uswazini kwa waporaji sipajui 😂
Sakina sijawahi porwa., Njiro nikija ibiwa/ porwa ndio nitaona Arusha ni hovyo.. but for now Arusha is my second home 😍