Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Job true true.Sasa mie msukuma toroli sijui nitaweki vipi furomu homu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Job true true.Sasa mie msukuma toroli sijui nitaweki vipi furomu homu
Umeandika Pumba Mzee.Hapo diamond anafanyaje masihara? Ugonjwa uwezi ukawa kisingizio Cha kutofanya shughuli zako ndomaana wewe unafanya kazi Kama kawaida hapo diamond ametumia Kama sehemu ya kupata kipato na hajawahi kuleta dhiaka kwenye ugonjwa wa Corona Kama alivyofanya Mwana fa ndomaana pamoja na kutumia Kama sehemu ya kumuingizia kipato lakini pia anatumia nafasi hiyo ya kutoa elimu ya kujizuia na Corona kwa raia.
Anatakiwa akaguliwe na CAG au sioHuyu jamaa atakua anatumia pesa yake mwenyewe au?
Pambana mkuuKik Ya yeye kumtema Tanasha Imebuma, Kik Ya mama yake Kutemwa na Kiben 10 pia Imebuma ameona wivu Mwana FA katrend na Yeye kaamua Kupitamo alaf raia Wamempotezea Japokua Vi fans Vyake Vinajaribu Kubust ila Busta Limegoma Pia.
Pambana mkuu
Maisha ya kuwa na chuki ni magumu zaidi
Sawia kabisaaa
hv unaelewa maana ya kiki...?karantini gani wamejazana chumba kimoja..jamaa kiki zitakuja kumuuwa
utani uko wapi hapo...?watu wanakuf kwa corona yeye anafanya utani na ugonjwa ?
kwani hapo ugonjwa umetumikaje..?huu ugonjwa uantumika vibaya sasa kwa watu kujitafutia umaarufu zaidi na tension kutoka kwa raia
kwani we unavyoelewa ugonjwa huo unaenea vp...?nilimshangaa Hamisi Mwijuma a.k.a alivyokuwa analeta masihara mwanzoni anaelezea korona iliyompata kama vile ni vijimafua flan hivi
mkumbuke tu kabla ya maisha ya karantini hao jamaa walikuwa pamoja na walishirikiana kwa kila kitu so kama mmoja wapo alikuwa ni muathirika basi wote washaambukizanaWanachofanya hao jamaa ni Ku enjoy life ila kwa ile maana halisi ya quarantine hapana. Ilipaswa kila mmoja awe mbali kidogo na mwinginelakini wao hapo wanaimbiana karibu karibu, wanapokezana na kuelekezana magitaa n.k
hv kumbe na tanasha hawajaachana ilikuwa ni kiki...?Kik Ya yeye kumtema Tanasha Imebuma, Kik Ya mama yake Kutemwa na Kiben 10 pia Imebuma ameona wivu Mwana FA katrend na Yeye kaamua Kupitamo alaf raia Wamempotezea Japokua Vi fans Vyake Vinajaribu Kubust ila Busta Limegoma Pia.
kwani Mwana FA kafanya ujinga ganiHapo diamond anafanyaje masihara? Ugonjwa uwezi ukawa kisingizio Cha kutofanya shughuli zako ndomaana wewe unafanya kazi Kama kawaida hapo diamond ametumia Kama sehemu ya kupata kipato na hajawahi kuleta dhiaka kwenye ugonjwa wa Corona Kama alivyofanya Mwana fa ndomaana pamoja na kutumia Kama sehemu ya kumuingizia kipato lakini pia anatumia nafasi hiyo ya kutoa elimu ya kujizuia na Corona kwa raia.