Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #41
Takuja kuzichambua. Pia kama uko Chanika naweza kukufundishaSandali Ali fafanua hizo level za karate vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takuja kuzichambua. Pia kama uko Chanika naweza kukufundishaSandali Ali fafanua hizo level za karate vizuri
AhahahahhahaNinja assassins, dah ningekua na uwezo wa hawa jamaa, nisingehangaika na hawa viongozi wetu. Kiongozi mzinguaji napiga tu X kubwa kwenye picha yake
Kung Fu karate wakati mwingine huitwa hivyo.Kung fu na karate ipi bora
Ahahahahhaha.Karate tamu japo sijajifunza effectively ni maeneo flani nami nikasema nijiunge but sio official
Sasa kwa zile Basic na kata mbili nilizo jifunza kiukweli naweza mkabili mzembe mzembe na nikamuweka chini vizuri.
Kuna teke moja ilo nalijubali Sana nafikiri linaitwa Yoko Geri kikome yaani unampiga MTU chuma wakati umeangalia mbele kwa kugeuka haraka.
Nilimtwika moja tu maeneo itovu jamaa akasema Basi baba pale ndy nikasema alaaaaa kumbe mzigo unapiga kazi
Hapa umedanganyaKung Fu karate wakati mwingine huitwa hivyo.
But Kung Fu ni art za kale zaidi, while karate ni modern. Ila kwa hakika ni kitu kimoja. Hiyo karate wameongeza vitu wanazuoni
nipo ifakara now nikirudi tutayajengaTakuja kuzichambua. Pia kama uko Chanika naweza kukufundisha
tupe Elimu tujue mkuuHapa umedanganya
Inategemeana na muhusikaKung fu na karate ipi bora
Jf tunaweza kila kitu na kuna all professionalUnajua Muay Thai imejaribu kuondoa techniques nyingi sana za hatari za Muay Boran yenyewe pure kwa ajili ya mashindano mpaka imekuja kutumiwa kama kick boxer.
Ila ile MuayBoran halisi kabisa (traditional) iliyotumiwa na jamaa kama sanaa ya kujihami vitani wakati wakipambania Uhuru imegawanyika ki kanda kwendana style zake.
Muay Chaiya, Muay Korat, Muay Lopburi na Muay Thasao ni style tofauti sasa wapo waliochanganya hizo sasa ukute huyo mtu anapractice na tae kwondo au krav maga HAFAII.
Niko pugu sekondary, natamani nijue hii kituTakuja kuzichambua. Pia kama uko Chanika naweza kukufundisha
Umri wowote. From 4 to 80 yrs.Umri wa kuanza?
mkuu KRAV MAGA motoooooUnajua Muay Thai imejaribu kuondoa techniques nyingi sana za hatari za Muay Boran yenyewe pure kwa ajili ya mashindano mpaka imekuja kutumiwa kama kick boxer.
Ila ile MuayBoran halisi kabisa (traditional) iliyotumiwa na jamaa kama sanaa ya kujihami vitani wakati wakipambania Uhuru imegawanyika ki kanda kwendana style zake.
Muay Chaiya, Muay Korat, Muay Lopburi na Muay Thasao ni style tofauti sasa wapo waliochanganya hizo sasa ukute huyo mtu anapractice na tae kwondo au krav maga HAFAII.
[emoji3516][emoji3516]Sasa iyo teke ukitaka imuingie mtu Inabidi ucheze nae alafu unavizia Kama unaangalia pembeni ivi ndo unaipiga....alafu Kuna moja iko kwenye taikwondo inaitwa bolley kick...aisee ina mvuto wa kimapenzi hatari...Yani ukiwa mbele ya demu wako afu Kuna fala kajipitisha ukiipiga ile lazima ukawekewe maji ya kuoga yaliyoungwa