Karate ndio mchezo unaoweza kukuhakikishia safe self defense kwa zaidi ya 90%

Ahahahahhaha.
Ulikuwa unatest mitambo
 
Jf tunaweza kila kitu na kuna all professional
 
Hivi siwezi kumiliki katana nikuwa Tanzania?
 
mkuu KRAV MAGA motooooo
 
[emoji3516][emoji3516]
 
Mkuu Sandali Ali anza sasa kufanyia promosheni ya huo mchezo ili uanze kupata wafuasi, ili hatimaye muanzishe chama cha karate hapa nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…