Mi kwa nlivosoma soma sehemu nimesikia kung fu ni risk sana yani kung fu ukiwa hauko deep ni rahisi kupigwa kama mtoto tofauti na karate. Ila kung fu ukimkuta master ni untouchable anaweza kukumaliza sekunde chache sana. Pia kung fu ni spiritual zaidi tofauti na karate yenyewe sio sana.Kung fu na karate ipi bora
Pia karate iko performed sna japan nd ilikoanzia jpo china nao wanajua. Wakati kung fu ni china zaidi.tupe Elimu tujue mkuu
Naona kama ninjitsu ndo uhakika zaidi kwa martial arts ila iwe ile yenyewe hasa.Karate kamchezo laini kias ,
Ili mtu uwe na uhakik wa ulinzi
1. Bastola au mishale modern
2.combat pure
3. Mixed martial art hapa kuna krav maga,systema,silat,muay boran,jiujitsu,hapkido,aikido, shaolin ,jeet kune do,
4. Boxing
5.lower acrobatic.
6.ninjutsu kiasi level 4
7.judo.
Hapa atleast unaweza kupambana na yyte duniani usisahau meditation ili kuwa na invisible power
Na ndiyo maana kuna sehemu moja chomboni kuna ki msemo kinasema mlinzi namba moja ni Mungu, mlinzi namba mbili ni CDONa kitu cha kwanza kabisa hapo ni Mungu ulinzi wake pia uwe na haki namatendo mema ukumbuke kusali na kushika amri zake ,la utakufa tu mbwa wew[emoji23]
Ni kwanini Wacheza Karate mkishikiwa tu Mawe huwa mnatoka baru / mbio? Kwani hizo Karate zenu mlizojifunza Vichochoroni au hata sehemu rasmi hazijawapa Mbinu za kukwepa Mawe? Nasubiri Majibu yako tafadhali juu ya hili ( haya ) niliyokuuliza hapa.Karate ni mchezo mtamu sana, na hautumii nguvu nyingi sana kama ndondi.
Ndondi haiwezi kukupa uhakika wa zaidi ya 50% katika suala zima la self defense.
Karate inakufundisha kila kitu even magic kama utabahatika kufikia level ya kuanzia mkanda wa blue.
Sema tu Bongo karate hailipi sana kwakuwa haina competition nyingi na watu hawaijui licha ya kuipenda sana.
Mcheza karate mwogope sana hata Kama yuko level za chini anaweza kukuvunja mgongo huku amerelax.
Mcheza karate mwenye mkanda wa njano (mwanafunzi mwandamizi) anaweza kumpiga star wa ndondi ambaye anashiriki ngumi za kulipwa.
Karate ni pana na ina matawi au mapigo tofauti kulingana na mvumbuzi au muasisi.
Vijana chezeni karate mtakuja kunishukuru.
Am currently comingNi kwanini Wacheza Karate mkishikiwa tu Mawe huwa mnatoka baru / mbio? Kwani hizo Karate zenu mlizojifunza Vichochoroni au hata sehemu rasmi hazijawapa Mbinu za kukwepa Mawe? Nasubiri Majibu yako tafadhali juu ya hili ( haya ) niliyokuuliza hapa.
Yuko sahihi..Karate imetokea visiwa vya Okinawa Japan ambapo wanazuoni wake walijifunza kutoka kwa walimu wa Kungfu wa China. Walichofanya ni kuongeza baadhi ya vitu kulingana na mazingira yao.Hapa umedanganya
Chama/vyama vipoMkuu Sandali Ali anza sasa kufanyia promosheni ya huo mchezo ili uanze kupata wafuasi, ili hatimaye muanzishe chama cha karate hapa nchini.
hahhahhaha...daaah aiseehπ€£π€£π€£Asa kisu na bisi bisi ni kitu gani mbele ya mcheza karate kuanzia yellow belt .??....labda Kama ulikua hujui ni kua...hivo visilaha watu wanafanyia mazoez kiukweli ukweli ..kwahyo mpumbavu mmoja au wawili wakija na kisu Yani ni Kama wamefata kufanyiwa mafunzo kwa vitendo kwa mcheza karate aliyeiva
We kiazi unasema karate laini..??..hivi wewe zoezi la sakatobe tu nakuhakikishia utakimbia...na amsure ume Google hiyo michezo..boxing nao ni mcheza wa kuamini kua unajilinda nao!??...asa judo SI mcheza wa kina mama tu...π€£π€£π€£....huo lower acrobatic ndo mchezo gani....dah vitu vingine Kama hujui kaa kimya tu mkuuKarate kamchezo laini kias ,
Ili mtu uwe na uhakik wa ulinzi
1. Bastola au mishale modern
2.combat pure
3. Mixed martial art hapa kuna krav maga,systema,silat,muay boran,jiujitsu,hapkido,aikido, shaolin ,jeet kune do,
4. Boxing
5.lower acrobatic.
6.ninjutsu kiasi level 4
7.judo.
Hapa atleast unaweza kupambana na yyte duniani usisahau meditation ili kuwa na invisible power
Karibu moro mkuu uone km nimegoogle au la?We kiazi unasema karate laini..??..hivi wewe zoezi la sakatobe tu nakuhakikishia utakimbia...na amsure ume Google hiyo michezo..boxing nao ni mcheza wa kuamini kua unajilinda nao!??...asa judo SI mcheza wa kina mama tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....huo lower acrobatic ndo mchezo gani....dah vitu vingine Kama hujui kaa kimya tu mkuu
Hallelujah!!!!Mkuu Wing Chun ndo kila kitu yani ni mwendo wa kufungua na kufunga
[emoji1739][emoji1739][emoji1739]
Kuna wakati nilijisajili kwenye darasa la karate nilienda siku kadhaa nikaacha kwa kuzidiwa na majukumu ya kifamiliaKarate ni mchezo mtamu sana, na hautumii nguvu nyingi sana kama ndondi.
Ndondi haiwezi kukupa uhakika wa zaidi ya 50% katika suala zima la self defense.
Karate inakufundisha kila kitu even magic kama utabahatika kufikia level ya kuanzia mkanda wa blue.
Sema tu Bongo karate hailipi sana kwakuwa haina competition nyingi na watu hawaijui licha ya kuipenda sana.
Mcheza karate mwogope sana hata Kama yuko level za chini anaweza kukuvunja mgongo huku amerelax.
Mcheza karate mwenye mkanda wa njano (mwanafunzi mwandamizi) anaweza kumpiga star wa ndondi ambaye anashiriki ngumi za kulipwa.
Karate ni pana na ina matawi au mapigo tofauti kulingana na mvumbuzi au muasisi.
Vijana chezeni karate mtakuja kunishukuru.
dah!π π π πNinja assassins, dah ningekua na uwezo wa hawa jamaa, nisingehangaika na hawa viongozi wetu. Kiongozi mzinguaji napiga tu X kubwa kwenye picha yake
Kuna wakati nilijisajili kwenye darasa la karate nilienda siku kadhaa nikaacha kwa kuzidiwa na majukumu ya kifamilia
Ila nitarudi kuendelea kwa kweli ngoja nipate muda