Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tayari, angalia post#2CCM watatafutana.
Hizo porojo zimeshindikana tafuta porojo mpyaKarambishwa asali anakenua ilikuwa kutwa pesa ya mama Abduli nimefukuza nenda kawahonge wanao hongeka sasa yeye anapanda chopa ya Abduli!
Waonyeshe na Wengine kwa manufaa ya jfNamuona mh Pareso hapo jukwaani 😂
Kila siku siyo JumapiliWee dada tunachokipigia kura ni tofauti na tunachokitangaza kwenye matokeo ya uchaguzi
Usilie, Mambo badoSiasa cha kuvimba chopa imetikisa ,ndio maana sie tunataka mshinde ila hamtoboi kwa siasa nyepesi kama hizi.
Endelea kuwa mwanaharakati nyuma keyboard kama itakupa mabadiliko. Hujaona hapo Kenya watu wamewavimbia polisi mitaani na rito akasarenda?Kila siku siyo Jumapili
Hizo hizo kuramba asali kwa ncha ya kisu ni hatari utamu ukikolea anakenua mnyaturu!Hizo porojo zimeshindikana tafuta porojo mpya
Nalia sna kwa sababu chadema chama pekee cha upinzani chenye nguvu , mmeanza kuwa na kaarufu kama ka wale .Usilie, Mambo bado