Karatu: CCM yakata Tamaa, yakubali kuachia Jimbo, Chopa ya Chadema yatikisa

Karatu: CCM yakata Tamaa, yakubali kuachia Jimbo, Chopa ya Chadema yatikisa

Pia John Mnyika na Ezekiel Wenje wako mkoani Geita kuuwasha moto . Ezekiel Wenje amesema " Suala la kuiondoa ccm madarakani ni suala la dharula ( emergency) . Wakati ni sasa ." Wananchi tuanze na uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu 2024, tuwaondoe ccm wote halafu tumalize kazi 2025 .

Mwenyezi-Mungu azibariki kazi za Chadema katika kuwakomboa watanzania.
 
Waliokuwa wanasubiri Lissu na Mbowe watifuane kisiasa wataishia kuumwa na mbu kwenye ngoko zao huku kunakucha.
Tulishawapuuza kitambo sana kwa sababu tulijua watadhalilika muda si mrefu
 
Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!

Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.

Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu

Zaidi jionee kidogo.

Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240
Lissu akiwa na Mbowe havai magwanda,Lissu kapania sana na anaaminiwa na wanachadema walio wengi
 
How i wish walau upinzani ushike nchi japo Mara moja Ila sasa chama cha kijani kimenogewa hakitoi Pasi kiko tayari hata kupata goli kwa kutumia mkono ili waendeleee kuwepo
 
How i wish walau upinzani ushike nchi japo Mara moja Ila sasa chama cha kijani kimenogewa hakitoi Pasi kiko tayari hata kupata goli kwa kutumia mkono ili waendeleee kuwepo
enzi hizo zimekwisha
 
Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!

Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.

Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu

Zaidi jionee kidogo.

Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240
Sera za maandamano zimeishia wapi?
 
kesheni mkirusha huyo nzige wenu wa chuma angani

wanakaratu si wajinga ruzuku zitawatokea puani msimu huu wallah
 
Back
Top Bottom