Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Usiliekesheni mkirusha huyo nzige wenu wa chuma angani
wanakaratu si wajinga ruzuku zitawatokea puani msimu huu wallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiliekesheni mkirusha huyo nzige wenu wa chuma angani
wanakaratu si wajinga ruzuku zitawatokea puani msimu huu wallah
Usilie mambo ndio kwanza yanaanzaUtani upi wewe nyumbu
Mnachoma Mafuta Bure tuu 🤣🤣Usilie mambo ndio kwanza yanaanza
Utajua hujuiMnachoma Mafuta Bure tuu 🤣🤣
Mnahalalisha ulaji 😆😆Utajua hujui
Spana zilizopigwa Hangaya haelewi ajibu niniMnahalalisha ulaji 😆😆
Ujumbe huu uwafikie Chawa jike woteHawa ndio tunaambiwa hawaongei maadui hawasikilizani wamekigawa chama nk duh
Wanaona aibu sasa wafitini wakubwa.Ujumbe huu uwafikie Chawa jike wote
Walikuwa wakibubujikwa na machozi waliposikia hivyo Chawa wa Lumumba na Mwenyekiti wao.Hawa ndio tunaambiwa hawaongei maadui hawasikilizani wamekigawa chama nk duh
Samia Huwa hajibu wavuta bangi ,wewe subiria matokeo ya kula ndio Utajua nani alipigwa spana.Spana zilizopigwa Hangaya haelewi ajibu nini
Makonda anakuwa na msururu wa mijigari 50 pale anachoma uji wa ulezi?Mnachoma Mafuta Bure tuu 🤣🤣
Maandalizi ya CCM katika kushinda uchaguzi ni huo wizi uliosimamiwa na Bashe, wa kutafuta pesa kupitia ufisadi wa kwenye biashara ya sukari.CCM hawanaga hoja; ni kakikundi kezi tu ka kura - hamnaga chama mule.
Sasa hivi ni mipango namna ya kuiba kura na si kuuza sera zao kwa wanachi.
Kweli matokeo ya kula mnawaza kula mali za nchi muda wote.Samia Huwa hajibu wavuta bangi ,wewe subiria matokeo ya kula ndio Utajua nani alipigwa spana.
NdioKweli matokeo ya kula mnawaza kula mali za nchi muda wote.
Kuna mwehu mmoja humu anaitwa Mwashamba alifikia mpaka kusema eti Lisu wakati wowote kuanziamuda huo atatangaza kuonfoka CHADEMA. Sahizi kakaa kimya!! Hiki walchokifanya Mbowe na Lisu ni jibu zuri sana kwa wanafiki na machawa ya CCM.Tulishawapuuza kitambo sana kwa sababu tulijua watadhalilika muda si mrefu
Bashe kaumbuka - ni kibaka hana uchungu na Tanganyika ni walewale wanao idalali Tanganyika.Maandalizi ya CCM katika kushinda uchaguzi ni huo wizi uliosimamiwa na Bashe, wa kutafuta pesa kupitia ufisadi wa kwenye biashara ya sukari.