Karatu: CCM yakata Tamaa, yakubali kuachia Jimbo, Chopa ya Chadema yatikisa

Karatu: CCM yakata Tamaa, yakubali kuachia Jimbo, Chopa ya Chadema yatikisa

Screenshot_2024-06-23-07-06-45-1.png
 
Hilo jimbo la karatu linawatu wanaofuatilia siasa haswa nafikiri kuliko majimbo yote Tanzania , hata ukienda mashuleni na vyuoni viongozi wengi ni wa jamii ya watu wa huko.
Siasa ni maisha
 
Watawachagua kwenye Nini, kwani Kuna uchaguzi hapa Tanzania, au kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura?
Nyie Chadema bhana 😂 sasa c mbaki nyumbani, mnahangaika nn na kuelekea uchaguzi?
 
Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!

Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.

Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu

Zaidi jionee kidogo.

Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240View attachment 3023497
Unataka tujadili chopa?? Tupe video tusikie wamezungumza nini!! Chopa chopa chopaaa ni usafiri tu wa kawaida
 
Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!

Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.

Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu

Zaidi jionee kidogo.

Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240View attachment 3023497
Ngoja tuone hapo baadae
 
Back
Top Bottom