Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ww kweli ni mzee, naona bado umenasa kwenye hizo propaganda za kizee.Eti "makubaliano"!
Huo bila shaka ni uongo wa kichaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww kweli ni mzee, naona bado umenasa kwenye hizo propaganda za kizee.Eti "makubaliano"!
Huo bila shaka ni uongo wa kichaga.
Pale ambako Jokate ni Balozi wake siyo?Yani wewe Mirembe Panakuhusu
Hilo jimbo la karatu linawatu wanaofuatilia siasa haswa nafikiri kuliko majimbo yote Tanzania , hata ukienda mashuleni na vyuoni viongozi wengi ni wa jamii ya watu wa huko.
Siasa ni maishaHilo jimbo la karatu linawatu wanaofuatilia siasa haswa nafikiri kuliko majimbo yote Tanzania , hata ukienda mashuleni na vyuoni viongozi wengi ni wa jamii ya watu wa huko.
Anakuchukulia poaendelea kudhani niko mitandaoni
Nyie Chadema bhana 😂 sasa c mbaki nyumbani, mnahangaika nn na kuelekea uchaguzi?Watawachagua kwenye Nini, kwani Kuna uchaguzi hapa Tanzania, au kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura?
Unataka tujadili chopa?? Tupe video tusikie wamezungumza nini!! Chopa chopa chopaaa ni usafiri tu wa kawaidaMakubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!
Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.
Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu
Zaidi jionee kidogo.
Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu
View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240View attachment 3023497
Unalia nini?Unataka tujadili chopa?? Tupe video tusikie wamezungumza nini!! Chopa chopa chopaaa ni usafiri tu wa kawaida
Acha kupiga mayowe mmevuliwa nguo huku saa saba mchana KariakooHizo hizo kuramba asali kwa ncha ya kisu ni hatari utamu ukikolea anakenua mnyaturu!
Chali miguu juuChura wamechakazwa..
Mimi sijui kwanini nikiona hiki chama nawaona mabeberu...Mnisamehe ndugu zangu wapendwa!
Ngoja tuone hapo baadaeMakubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!
Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.
Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu
Zaidi jionee kidogo.
Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu
View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240View attachment 3023497
Mimi sio msemaji wa cdm.Nyie Chadema bhana 😂 sasa c mbaki nyumbani, mnahangaika nn na kuelekea uchaguzi?
Chama la WaTanzania....KIMEWAKA.... wabunge wa mchongo matumbo motoo
Nyomi kama siafu....Lumumba wachungulia kama nguchiro kibaka