Karatu: CCM yakata Tamaa, yakubali kuachia Jimbo, Chopa ya Chadema yatikisa

Karatu: CCM yakata Tamaa, yakubali kuachia Jimbo, Chopa ya Chadema yatikisa

Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!

Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.

Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu

Zaidi jionee kidogo.

Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240
Hivi yale mashetani madogo yaliyokuwa yakidanganya kuwa Lissu na Mbowe hakukaliki na wala hapalaliki yako wapi!!??
Shetani ni muharibifu.
Shetani ni baba wa uongo.
 
Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!
Mkuu 'Erythro', utanisamehe sana rafiki yangu, lakini nikianza kukusoma kama Lucas Mwashambwa..., sasa sijui nisemeje, kwa sababu huyu mshindani wako yupo daraja la kipekee kabisa ambalo sidhani kuwa nawe unaweza kulifikia.

Unaeleweka tu vizuri toka siku nyingi bila ya ushindani huu mpya. Lakini kama ndiyo njia sahihi ya kuelezea mambo ya chama, mimi ni nani wa kuhoji njia sahihi ya kuvutia wasomaji wako.
 
Mimi sijui kwanini nikiona hiki chama nawaona mabeberu...Mnisamehe ndugu zangu wapendwa!
Itafika mahali wajivue hiyo sura kama kweli wanataka chama kiwe cha waTanzania. Lakini nataka nikuache na ukweli huu: kwa hali ilipofikia CCM sasa hivi, ni bora mara mia hao CHADEMA wafanye kila juhudi za kuwaondoa CCM madarakani bila kujali huo "ubeberu" unaozungumzia wewe.
CCM Bado ni chama Cha watanzania, shida kubwa ni hiyo state capture iliyoikumba
CCM itabaki vipi kuwa chama cha waTanzania, iwapo shida hiyo ya 'state capture' imewanasa? Naona unajichanganya mwenyewe hapa.
 
Siasa cha kuvimba chopa imetikisa ,ndio maana sie tunataka mshinde ila hamtoboi kwa siasa nyepesi kama hizi.
Sisi wananchi ndo tunao umia mkuu. Hao Chadema washinde ama wasipo shinda..sisi wananchi ndo tunateseka na ugumu wa uovu na ukandamizaji wa CCM ,tuache kuwa na ushabiki wa ajabu.
 
Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!

Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.

Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu

Zaidi jionee kidogo.

Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240
Eti "makubaliano"!

Huo bila shaka ni uongo wa kichaga.
 
Viongozi wa ccm waliokubaliana na viongozi wa Chadema kuachia jimbo ni akina nani?
 
CCM Bado ni chama Cha watanzania, shida kubwa ni hiyo state capture iliyoikumba
Ni chama Cha watanzania au ni chama kilichopo Tanzania? Chama Cha watanzania kinachotegemea wizi wa kura na vyombo vya Dola kubaki madarakani, hakuna chama hapo bali genge linaloshurutisha kubaki madarakani.
 
Mkuu 'Erythro', utanisamehe sana rafiki yangu, lakini nikianza kukusoma kama Lucas Mwashambwa..., sasa sijui nisemeje, kwa sababu huyu mshindani wako yupo daraja la kipekee kabisa ambalo sidhani kuwa nawe unaweza kulifikia.

Unaeleweka tu vizuri toka siku nyingi bila ya ushindani huu mpya. Lakini kama ndiyo njia sahihi ya kuelezea mambo ya chama, mimi ni nani wa kuhoji njia sahihi ya kuvutia wasomaji wako.
Hatuandiki jf ili kushindana na mtu, wala hatujawahi kuwaza mashindano, lengo letu ni kusambaza habari njema kwa watu wote, ni bahati mbaya kwamba tunatafsiriwa tofauti, bali tunakubaliana na kila tafsiri inayoletwa maana ndio uhuru wa JF huo
 
Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!

Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.

Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu

Zaidi jionee kidogo.

Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240
Yani wewe Mirembe Panakuhusu
 
Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!

Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.

Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu

Zaidi jionee kidogo.

Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240
Cheap politics!
 
Back
Top Bottom