Karatu: CCM yakata Tamaa, yakubali kuachia Jimbo, Chopa ya Chadema yatikisa

Ma Hawa wa ccm walisema cdm imehawanyika
 
Hatuandiki jf ili kushindana na mtu, wala hatujawahi kuwaza mashindano, lengo letu ni kusambaza habari njema kwa watu wote, ni bahati mbaya kwamba tunatafsiriwa tofauti, bali tunakubaliana na kila tafsiri inayoletwa maana ndio uhuru wa JF huo
Huenda, na inaelekea hukuelewa ujumbe wangu nilionuia kuuwasilisha. "...kusambaza habari njema..." ni kwa faida ya wote, ni jambo jema. Ni aina ya "usambazaji", kama kipengele hicho nilicho nyanyua...
Habari njema inapotea kwenye mambo ambayo yanaongezwa kwenye usambazaji huo na kuifanya hiyo habari kupoteza uzuri wake. Ni staili tu, ya uwasilishaji, ndiyo naona imebadilika sana nyakati hizi.

Haya ni maoni tu, kwa uande wangu. Kama hiyo staili ya uwasilishaji ndiyo inayofanya wasomaji waelewe zaidi habari inayowasilishwa, mimi sina neno wala uwezo wa kubadili chochote.. Ilikuwa ni ushauri tu!

Kila njia inayoonekana inafaa kuing'oa CCM, itumike, hilo ndilo lengo. Haya mengine ni madoido tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…