Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naona wewe ndio huna akili. Ili msamaha utoke lazima aliyekosea aoneshe kujutia kosa na kuomba msamaha kwa aliyemkosea. Kwasisi wakatoliki kwa mfano, kuungama tu au kuomba msamaha kwa Mungu hakutoshi. Ni la zima uende extra mile kufanya malipizi ya dhambi zako kadri utakavyoshauriwa na muungamishaji. Baadhi ya malipizi yaweza kuwa kuwaomba msamaha uliowakosea physically, kurudisha mali za wizi (kama kosa ni wizi), Kusali sara kadhaa, n.k.We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Mbona hawa kusuruisha mapema?We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Eti za kisiasa, mtu kadhalilishwa hadharani halafu unaleta kichaka cha siasa hapa? Msiba ni lazima alipie uovu wake. Hutaki kaungane naye umsaidie kulipa. Hayo ya CAG yashughulikie wewe kwani mada hii si mahali pake.Mahakama kukubali kujihusisha na kesi za madai yenye mlengo wa kisiasa kunaenda kuua uhuru wa habari na maoni na kuziba watu midomo kuibua skendo za uhujumu nchini zikiwemo ubadhirifu mkubwa mithili ya ule ulioibuliwa na CAG. Kwa sababu hao watu watakuwa na ukwasi mkubwa ni rahisi wao kukimbilia kutumia mahakama kwa kuwalipa mawakili nguli na kupenyeza pesa kila mahali.
😅😅😅Ni wanafiki wa kupindikia ingekuwa enzi za yesu Hawa ndio ambao wangedai baraba aachiwe huru na masihi asulubiwe
Wao na musiba et al lao maoja.Mbona hawa kusuruisha mapema?
Mie nilishanawa mikono kwa hao jamaa. Sio watu.Pengo na Malasusa hawakuwahi kumkemea MUSIBA wakati anawatukana Watu kwa sababu walikuwa Upande wa aliyekuwa anamtupa MUSIBA ambaye ni MAGUFULI
Kwanini LEO ndio wanajifanya WAPATANISHI? Huo ni UNAFIKI
Mzee MEMBE USIKUBALI DAI FEDHA ZAKO huyo MUSIBA alikudhalilisha sana
We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Ww ndio mwehu!!We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
Hiyo ripoti ishajadiliwa sana humu wenye mamlaka wakiamua waifanyie kazi wataifanyia na wakiamua waipuuze wataipuuza na huna Cha kuwafanya maana hata kuthubutu kuingia barabaran uwezo hamna sasa unataka watu waendelee kujadili hiyo kitu mpaka lini?Watanzania wengi ni WAPUMBAVU sana, ripoti ya C.A.G haijafanyiwa kazi. Gharama za maisha zimepanda sana kwa wananchi wa kawaida walio wengi na ufisadi kila sehemu. Wanasiasa wamewageuza wananchi mazuzu wanawachezesha gwaride wanavyotaka na JF yote kwenye siasa mnajadili watu wawili Membe na Misiba, mna akili kweli!?!?.., hakuna mambo ya msingi ya kujadili zaidi ya Membe na Musiba!?
viongozi wa dini wanafanya kazi chini ya kivuli cha Mungu ni pendo na samehe ili nawe usameheweHivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Pengo na Malasusa ni wahuni tu,wapuuzwe.Hivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Hata kumuabudu shetani ni dini pia.Ukiwa na fikra za shetan huwez elewa lengo la dini
Dini nzuri ina hubiri amani,kusameheana, upendo hao maaskofu wapo sahihi kabisa kuhubiri msamaha kwa aliyekukosea nyie ndio wanafiki mnaopenda chuki, visasi na kukomoanaHivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Hata wewe haupo msafi au mwema ndio maana Mwenyezi Mungu amekusamehe hajakuhukumu acha nakala zako za chuki na visasi zilizojaa unafikiHivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?
Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?
Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?
Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.
Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.
Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?
Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
Hayo jadili wewe hujakatazwa, usitupangieWatanzania wengi ni WAPUMBAVU sana, ripoti ya C.A.G haijafanyiwa kazi. Gharama za maisha zimepanda sana kwa wananchi wa kawaida walio wengi na ufisadi kila sehemu. Wanasiasa wamewageuza wananchi mazuzu wanawachezesha gwaride wanavyotaka na JF yote kwenye siasa mnajadili watu wawili Membe na Misiba, mna akili kweli!?!?.., hakuna mambo ya msingi ya kujadili zaidi ya Membe na Musiba!?