Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

Tatizo lenu BAVICHA mnapenda kusikia mnavyoviyaka nuie tu,halafu mnataka uhuru wa kujieleza
Tulieni tuu,sio lazima wote tufikiri sawa
 
Kizazi kisichopenda ukweli kitakosoa mpaka Viongozi wateule. Dini inatawaliwa na dhana ya IMANI kama huwezi amini katika Maono ya Viongozi wako wa Kidini huna Imani. Ya Kardinali Pengo tuachieni walengwa yatuwashe maaana ndiye mhimili wetu wa Imani na kwa mujibu wa mafundisho kauli za Kidini hazihitaji too much Reason mwishowe Utakufuru.
Baba Pengo tunasema AMINA.
Yan unaacha akili yako itawaliwe na maono ya mtu mwingine kisa tu ni kiongozi wa dini? Huna tofaut na wanaomsujudia mfalme Zumaridi
 
Yan unaacha akili yako itawaliwe na maono ya mtu mwingine kisa tu ni kiongozi wa dini? Huna tofaut na wanaomsujudia mfalme Zumaridi
wakati huo wewe unashabikia chama chenye mwenyekiti aisyeamini uwezo wa wengine.

kwanini tunakuwa wanafiki hivi binaadam!!!
 
masahihisho=hakuna mkuu wa mkoa hapa Tanzania anayeitwa makonda.
 
Leo Katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na viongozi wa dini kardinal Pengo amemtetea dictator Mussolin aliyetawala Italia enzi hizo kama ifuatavyo

Mussolin aliondoa baa au balaa la Malaria Katika mji mdogo wa Italia, Kwa mujibu wa kardinal Pengo wakati huo malaria ilitishia maisha ya watu hapo Italia

Kuna mambo mazuri ya Mussolin na Hiltrer hayazungumzwi kwa mujibu wa kardinal Pengo

Pengo amesisitiza darasani watu hufundishwa Hiltrer aliua wayaudi zaidi ya Milioni sita lakini hawataki Kuongelea mazuri ya Hitler

Pengo ameiomba jamii itofautishe kati ya Dictate na neno dictator

Akijenga hoja kuhusu watu wanaomuandika mheshimiwa Rais kuwa ni dictator,amewaomba watafakari upya

Je, kujenga hospital ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Je, watoto kusoma bure wao na wajukuu zao ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Amepongeza uongozi wa Makonda kama moja ya watu vijana wanamsaidia Rais

Aidha Kardinal Pengo amesema alikuwa na hofu Rais wa sasa akimaliza muda wake nani atafaa na kufanya kama Rais wa sasa, Hofu imepungua kuona kuna vijana kama Makonda wanachapa kazi

Kardinal Pengo amesisitiza uwepo wa vijana wachapa kazi kama Makonda na wakijitokeza wengi hana shaka kabisa kazi za Rais zitaendelezwa vizuri

Kwa mujibu wa kardinal Pengo na Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es Salaam amesema haya mambo ya kumuita Rais dikteta anayasoma mitandaoni lakini pia kwa Uzee wake kuna watu wema wanampa taarifa nini kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Mwana Jamii Forum aitwaye "Barafu" ameelezea sana kwenye uzi mmoja jinsi Mussolin alivyoliteka kanisa wakati huo na kukandamiza Raia huko Italia

Hili la Hiltrer na Mussolin Nadhani ni elimu mpya kuwa kuna mambo mazuri walifanya

Tunaruhusu povu kwa wale wanaowalaumu viongozi wa kikatoliki, Kikubwa Wakatoliki kila jumapili kabla ya kuanza misa hutubu dhambi zao tofauti na wale wanaoanza kukusanya sadaka
Mkapa muumini wao kakili kumwaga damu za watu 19 huko zanzibar na huenda walimsifu.

Je ni utaratibu wao kuuwa watu ili watubu?

Na ikiwa kila siku kathibitisha hutubia dhambi zile zile miaka nenda rudi hizi toba zitakoma lini ikiwa kila kukicha wanajiingiza kwenye makosa yaleyale?
 
Leo Katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na viongozi wa dini kardinal Pengo amemtetea dictator Mussolin aliyetawala Italia enzi hizo kama ifuatavyo

Mussolin aliondoa baa au balaa la Malaria Katika mji mdogo wa Italia, Kwa mujibu wa kardinal Pengo wakati huo malaria ilitishia maisha ya watu hapo Italia

Kuna mambo mazuri ya Mussolin na Hiltrer hayazungumzwi kwa mujibu wa kardinal Pengo

Pengo amesisitiza darasani watu hufundishwa Hiltrer aliua wayaudi zaidi ya Milioni sita lakini hawataki Kuongelea mazuri ya Hitler

Pengo ameiomba jamii itofautishe kati ya Dictate na neno dictator

Akijenga hoja kuhusu watu wanaomuandika mheshimiwa Rais kuwa ni dictator,amewaomba watafakari upya

Je, kujenga hospital ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Je, watoto kusoma bure wao na wajukuu zao ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Amepongeza uongozi wa Makonda kama moja ya watu vijana wanamsaidia Rais

Aidha Kardinal Pengo amesema alikuwa na hofu Rais wa sasa akimaliza muda wake nani atafaa na kufanya kama Rais wa sasa, Hofu imepungua kuona kuna vijana kama Makonda wanachapa kazi

Kardinal Pengo amesisitiza uwepo wa vijana wachapa kazi kama Makonda na wakijitokeza wengi hana shaka kabisa kazi za Rais zitaendelezwa vizuri

Kwa mujibu wa kardinal Pengo na Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es Salaam amesema haya mambo ya kumuita Rais dikteta anayasoma mitandaoni lakini pia kwa Uzee wake kuna watu wema wanampa taarifa nini kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Mwana Jamii Forum aitwaye "Barafu" ameelezea sana kwenye uzi mmoja jinsi Mussolin alivyoliteka kanisa wakati huo na kukandamiza Raia huko Italia

Hili la Hiltrer na Mussolin Nadhani ni elimu mpya kuwa kuna mambo mazuri walifanya

Tunaruhusu povu kwa wale wanaowalaumu viongozi wa kikatoliki, Kikubwa Wakatoliki kila jumapili kabla ya kuanza misa hutubu dhambi zao tofauti na wale wanaoanza kukusanya sadaka

hata rais ni mkatoliki
 
Back
Top Bottom