Nikikuambia wewe ni taahira nitakuwa nakosea ndugu zangu???
Wale 10 ilikuwa kuirekebishia simba goal post eti kwakuwa ilikuwa na mo kidume kwenye usajili. Utaahira wa hali ya juu. Uganda inafanya vizuri kwenye soka kuliko sisi lakini haifanyi upuuzi huu wa KariaTena hata hao 10 bado ni wachache waongezwe watano wawe 15 tunataka kombe la Afrika, kama ni wachezaji wa ndani kwa akili ya timu ya Taifa watatoka hata Ihefu ,wenye uwezo wa kushindana na Wachezaji wa nje watapata namba huko Simba
Ndomaana club za Uganda hatuzioni kwenye mashindano makubwa?Wale 10 ilikuwa kuirekebia simba goal post eti kwakuwa ilikuwa na mo kidume kwenye usajili. Utaahira wa hali ya juu. Uganda inafanya vizuri kwenye soka kuliko sisi lakini haifanyi upuuzi huu wa Karia
Umejielekeza vibaya mkuu tff hayaundwi na wanasimba pekee Wala Karia Pekee think twice mkuuu[emoji41]Hatujui ni kwasababu gani Karia anajivunia mafanikio ya soka yaliyopatikana wakati wa kipindi cha cha miaka 4. Binafsi sioni mafanikio ya soka kwenye kipindi chake zaidi ya Karia kuhakikisha kuwa Simba inakuwa bingwa kwa kipindi chake chote na inafanya vizuri kwenye mashindano ya African Champions Cup. How?
Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,
1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.
2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.
3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.
4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.
5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.
6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF
Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.
Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.
Hatujui ni kwasababu gani Karia anajivunia mafanikio ya soka yaliyopatikana wakati wa kipindi cha cha miaka 4. Binafsi sioni mafanikio ya soka kwenye kipindi chake zaidi ya Karia kuhakikisha kuwa Simba inakuwa bingwa kwa kipindi chake chote na inafanya vizuri kwenye mashindano ya African Champions Cup. How?
Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,
1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.
2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.
3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.
4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.
5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.
6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF
Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.
Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.
Usiwe mpotoshaji wa wazi eti Simba tuHatujui ni kwasababu gani Karia anajivunia mafanikio ya soka yaliyopatikana wakati wa kipindi cha cha miaka 4. Binafsi sioni mafanikio ya soka kwenye kipindi chake zaidi ya Karia kuhakikisha kuwa Simba inakuwa bingwa kwa kipindi chake chote na inafanya vizuri kwenye mashindano ya African Champions Cup. How?
Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,
1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.
2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.
3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.
4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.
5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.
6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF
Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.
Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.
Very weak pointKumbuka Simba ilianza ligi Na timu laini makusudi iwe kama njia ya kuifanya simba iwe kwake kama pre season baada ya mapunziko ya corona
Hajisifu Ila anasifiwa na watu kwa mafanikio kwani tangu wkt wa Mzee El mamli hakuna hatua imefanyika km hii club kuingia group stage mara mbili ndani ya miaka mitatuHatuteseki ila Karia asije akajisifu.
Huyu analake tu kufurahisha watu Ila sina amani kuwa hajui anachokisemaMoja ya hoja dhaifu kuwahi kutolewa katika jukwaa la michezo!
So karia ndio anajengea uwezo timu na hizo ni kanuni zinapitishwa na vilabu vyenyewe ktk uendeshaji wa ligi sio mtu mmojaHoja dhaifu kivipi? Wakati kanuni ya kuruhusu wachezaji 10 inapita kule TFF ni Simba tu labda Na Azam waliokuwa Na uwezo wa kusajili wachezaji 10, hivyo TFF ilitumika vibaya kuimarisha timu moja tu kwenye ligi. Simba yenye kikosi kipana chenye wachezaji mahiri 10 wa kigeni Na mahiri wa ndani ndiyo icheze Na Ruvu, Ihefu, polisi, mtibwa, mbeya city nk. Upuuzi sawa Na upuuzi mwingine.
Huko ni kumkosea heshima karia kumfananisha au kumlinganisha na malinziNinachotaka kusema hapa ni kwamba Karia hana tofauti na Malinzi kwenye maendeleo ya mpira nchini. Kama Malinzi alihangaikia mmo Yanga Na Karia nae amehangaikia mno Simba kwenye uongozi wake. Hivyo asije akaomba kura kwa kisingizio kuwa kapeleka mbele maendeleo ya mpira.. Simba wangeweza kucheza Na coastal union hata kabla ya kwenda South Afrika kwa Kaizer chief, lakini mbeleko ya Karia ikaahirisha mechi hiyo.
Kusemekana siku hizi ndio ushahidiZiko tuhuma kwamba Simba ilikuwa ikitumia mbinu haramu dhidi washindani wake kupata matokeo, mbinu hizi inasemekana hata Karia anazifahamu
Miundo mbinu ya ulaya na kwetu Tz usiifannishe ikiwemo usafiri na viwanja vyenyewe kuwa vichacheNi timu gani ulaya iliyokuwa Na viporo 9 eti kwasababu inashiriki mashindano mengine? Hata hivyo viporo vya namungo walipewa tu ili kubalance upendeleo wa Simba ili Namungo Na wadau wengine wasije kuhoji. Lakini Karia Na tff walifahamu fika kuwa namungo haiwezi kufika mbali kwenye mashindano yake hata ingepewa muda gani. Ile mbeleko ilikuwa ni ya Simba tu namungo ilidandia treni kwa mbele.
Kulalamika kwa waTanzania ni tabia yetu mkuu so hata kuhusu hilo lisikushangaze.Hata siumii ila hakuna wakati ambao FAT Na sasa TFF iliwahi kulaumiwa Na vilabu Na wadau kama wakati huu wa Karia. Timu zimelalamikia maamuzi mabovu viwanjani Na ratiba mbovu kuliko wakati wowote ule wa TFF Na FAT, kuna wakati kulikuwa hakuna mdhamini wa ligi.
Kuahirishwa kwa mechi ya Simba Na Yanga bila sababu ndilo jambo LA wazi LA ubovu wa Karia ambalo limesababisha hasara kubwa kwa wadau wengi nchini Na nje ya nchi . Alionyesha udhaifu mkubwa sana.
Kipindi hiki cha Karia hata timu za majeshi ambazo kimsingi huwa hazina tabia ya kulalamika hovyo lakini Na zenyewe safari hii zimeshindwa kuvumilia pia. Karia hafai jamani kuliongoza shirikisho, ushabiki ulimpofusha macho Na masikio
Kwa hiyo kwa kuwa kuna watu hawana uwezo wa kusajili wachezaji 10 wa kimataifa, basi dawa ni kuzizuia timu zote? Ndio maana nikaita hoja dhaifu. Nakumbuka enzi tunacheza chandimu kitaa, kama timu ina wachezaji wengi wasio na viatu, inaiambia yenye viatu wachezaji wake nao wavivue ili 'twende sawa'Hoja dhaifu kivipi? Wakati kanuni ya kuruhusu wachezaji 10 inapita kule TFF ni Simba tu labda Na Azam waliokuwa Na uwezo wa kusajili wachezaji 10, hivyo TFF ilitumika vibaya kuimarisha timu moja tu kwenye ligi. Simba yenye kikosi kipana chenye wachezaji mahiri 10 wa kigeni Na mahiri wa ndani ndiyo icheze Na Ruvu, Ihefu, polisi, mtibwa, mbeya city nk. Upuuzi sawa Na upuuzi mwingine.
Kwamba kutuachia walipaswa wafike fainali? Mkiambiwa akili hamna mnasema mnaonewa.Hao uganda waliotuachia, walifika wapi? Point nyingine bwana,watu mnawaza kama vile mmekatika vichwa[emoji23].
Wacha uongo kwenye huo mkutano wa kupitisha vilabu kusajili wachezaji 10 wa kigeni Na Ihefu ilikuwepo? Wakati TFF inaleta hoja ya wachezaji 10 ni ule wakati mo alipo bid 20b huku vilabu vingine vyote except Azam vilikuwa havina ubavu huo, GSM walijitokeza baaadaee. Kwahiyo mlengwa mkuu ni simba. Sasa simba kikosi kipana kucheza ligi moja Na akina Ihefu ni ujinga mtupu, hakuna uwiano. Lakini pamoja Na kuwa Na kikosi kipana lakini lakini ilitumia hela zake kuwatia upogo waamuzi Na wachezaji wa timu pinzani.So karia ndio anajengea uwezo timu na hizo ni kanuni zinapitishwa na vilabu vyenyewe ktk uendeshaji wa ligi sio mtu mmoja
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app