Karia ameihangaikia Simba tu kwa kipindi chake chote

Karia ameihangaikia Simba tu kwa kipindi chake chote

Nikikuambia wewe ni taahira nitakuwa nakosea ndugu zangu???



Tena hata hao 10 bado ni wachache waongezwe watano wawe 15 tunataka kombe la Afrika, kama ni wachezaji wa ndani kwa akili ya timu ya Taifa watatoka hata Ihefu ,wenye uwezo wa kushindana na Wachezaji wa nje watapata namba huko Simba
Wale 10 ilikuwa kuirekebishia simba goal post eti kwakuwa ilikuwa na mo kidume kwenye usajili. Utaahira wa hali ya juu. Uganda inafanya vizuri kwenye soka kuliko sisi lakini haifanyi upuuzi huu wa Karia
 
Wale 10 ilikuwa kuirekebia simba goal post eti kwakuwa ilikuwa na mo kidume kwenye usajili. Utaahira wa hali ya juu. Uganda inafanya vizuri kwenye soka kuliko sisi lakini haifanyi upuuzi huu wa Karia
Ndomaana club za Uganda hatuzioni kwenye mashindano makubwa?
 
Hatujui ni kwasababu gani Karia anajivunia mafanikio ya soka yaliyopatikana wakati wa kipindi cha cha miaka 4. Binafsi sioni mafanikio ya soka kwenye kipindi chake zaidi ya Karia kuhakikisha kuwa Simba inakuwa bingwa kwa kipindi chake chote na inafanya vizuri kwenye mashindano ya African Champions Cup. How?

Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,

1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.

2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.

3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.

4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.

5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.

6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF

Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.

Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.
Umejielekeza vibaya mkuu tff hayaundwi na wanasimba pekee Wala Karia Pekee think twice mkuuu[emoji41]
 
Hatujui ni kwasababu gani Karia anajivunia mafanikio ya soka yaliyopatikana wakati wa kipindi cha cha miaka 4. Binafsi sioni mafanikio ya soka kwenye kipindi chake zaidi ya Karia kuhakikisha kuwa Simba inakuwa bingwa kwa kipindi chake chote na inafanya vizuri kwenye mashindano ya African Champions Cup. How?

Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,

1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.

2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.

3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.

4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.

5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.

6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF

Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.

Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.


ok wengine watachangia ila hapo hiyo namba moja walau unawaonea TFF.. maana wao wanahusikaje na mabadiliko ya uendeshajinwa clib yaan walirahisishiwa vip na TFF...

isitoshe mabadiliko yenyewe bado na bado simba wanavutananna serikali (FCC)...

kumbuka mabadiliko ya uendeshajinwa tasisi ni ya kisheria za inchi wala sio kimpira.. michakato inayofanywa sasa hv na simba na yanga juu ya mabadiliko ya uendeshaji yanaratibiwa na kusimamiwa na serikali ( Wizara + BMTL + FCC) ndo maana hujaona TFF akisema lolote maana yeye kazi yake ni ku deal na kile kinachotokea uwanjan.

kwa kifupi had TFF yenyewe iko monitored na serikali kupitia BMTL.. so kwenye macho ya serikali TFF na club za mpira (mfano simba na yanga) wote ni wamoja maana wote ni tasisi za michezo..

halafu hiyo kusajili wachezaji kumi kwani yanga hawakusajili ... na ukumbuke sio takwa la TFF ni serikali ndo inapanga kanun maana hao wachezaji wa kigen ni waajiriwa kama wafanyakaz wengine so serikali inaweza ikaamua kulinda ain flan ya ajira kwa kigezo chochote.

itakachofanya ni kusikiliza maon ya wadau wa tasnia husika ( ambao kwa mpira ni clubs) kwa hiyo maamuz ya wachezaj kumi ni serikai ndo iliamua tena ilitangazwa na mwakyembe akiwa wazir wa michezo
 
Hatujui ni kwasababu gani Karia anajivunia mafanikio ya soka yaliyopatikana wakati wa kipindi cha cha miaka 4. Binafsi sioni mafanikio ya soka kwenye kipindi chake zaidi ya Karia kuhakikisha kuwa Simba inakuwa bingwa kwa kipindi chake chote na inafanya vizuri kwenye mashindano ya African Champions Cup. How?

Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,

1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.

2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.

3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.

4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.

5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.

6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF

Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.

Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.
Usiwe mpotoshaji wa wazi eti Simba tu
Tangu aingie madarakani hujaona stars ikiingia mataifa huru mara ngapi na timu za vijana?
Hujaona nammungo ikiingia makundi Africa shirikisho?
Mafanikio ni mengi Sana kuliko ipotoshaj uliosema


Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hoja dhaifu kivipi? Wakati kanuni ya kuruhusu wachezaji 10 inapita kule TFF ni Simba tu labda Na Azam waliokuwa Na uwezo wa kusajili wachezaji 10, hivyo TFF ilitumika vibaya kuimarisha timu moja tu kwenye ligi. Simba yenye kikosi kipana chenye wachezaji mahiri 10 wa kigeni Na mahiri wa ndani ndiyo icheze Na Ruvu, Ihefu, polisi, mtibwa, mbeya city nk. Upuuzi sawa Na upuuzi mwingine.
So karia ndio anajengea uwezo timu na hizo ni kanuni zinapitishwa na vilabu vyenyewe ktk uendeshaji wa ligi sio mtu mmoja

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Ninachotaka kusema hapa ni kwamba Karia hana tofauti na Malinzi kwenye maendeleo ya mpira nchini. Kama Malinzi alihangaikia mmo Yanga Na Karia nae amehangaikia mno Simba kwenye uongozi wake. Hivyo asije akaomba kura kwa kisingizio kuwa kapeleka mbele maendeleo ya mpira.. Simba wangeweza kucheza Na coastal union hata kabla ya kwenda South Afrika kwa Kaizer chief, lakini mbeleko ya Karia ikaahirisha mechi hiyo.
Huko ni kumkosea heshima karia kumfananisha au kumlinganisha na malinzi

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Ziko tuhuma kwamba Simba ilikuwa ikitumia mbinu haramu dhidi washindani wake kupata matokeo, mbinu hizi inasemekana hata Karia anazifahamu
Kusemekana siku hizi ndio ushahidi
Hizo ni tabia ya vijiweni kuchukua taarifa na kuziamini

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Ni timu gani ulaya iliyokuwa Na viporo 9 eti kwasababu inashiriki mashindano mengine? Hata hivyo viporo vya namungo walipewa tu ili kubalance upendeleo wa Simba ili Namungo Na wadau wengine wasije kuhoji. Lakini Karia Na tff walifahamu fika kuwa namungo haiwezi kufika mbali kwenye mashindano yake hata ingepewa muda gani. Ile mbeleko ilikuwa ni ya Simba tu namungo ilidandia treni kwa mbele.
Miundo mbinu ya ulaya na kwetu Tz usiifannishe ikiwemo usafiri na viwanja vyenyewe kuwa vichache

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hata siumii ila hakuna wakati ambao FAT Na sasa TFF iliwahi kulaumiwa Na vilabu Na wadau kama wakati huu wa Karia. Timu zimelalamikia maamuzi mabovu viwanjani Na ratiba mbovu kuliko wakati wowote ule wa TFF Na FAT, kuna wakati kulikuwa hakuna mdhamini wa ligi.

Kuahirishwa kwa mechi ya Simba Na Yanga bila sababu ndilo jambo LA wazi LA ubovu wa Karia ambalo limesababisha hasara kubwa kwa wadau wengi nchini Na nje ya nchi . Alionyesha udhaifu mkubwa sana.

Kipindi hiki cha Karia hata timu za majeshi ambazo kimsingi huwa hazina tabia ya kulalamika hovyo lakini Na zenyewe safari hii zimeshindwa kuvumilia pia. Karia hafai jamani kuliongoza shirikisho, ushabiki ulimpofusha macho Na masikio
Kulalamika kwa waTanzania ni tabia yetu mkuu so hata kuhusu hilo lisikushangaze.

Na mara nyingi wakati wako ukipita basi utapata sifa kedekede wakati ambae yupo wakati huo atalalamikiwa kweli kweli.
Binafsi sishangai.
 
Wakati wa pre season mlikuwa mnazurura mitaani wakati wengine wako mazoezini. Mkaanza pre season bila kocha.

Kupanga ni kuchagua. Mlichagua kuwabeba miungu watu kama watumwa sasa tulieni dawa iingie

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
 
Hoja dhaifu kivipi? Wakati kanuni ya kuruhusu wachezaji 10 inapita kule TFF ni Simba tu labda Na Azam waliokuwa Na uwezo wa kusajili wachezaji 10, hivyo TFF ilitumika vibaya kuimarisha timu moja tu kwenye ligi. Simba yenye kikosi kipana chenye wachezaji mahiri 10 wa kigeni Na mahiri wa ndani ndiyo icheze Na Ruvu, Ihefu, polisi, mtibwa, mbeya city nk. Upuuzi sawa Na upuuzi mwingine.
Kwa hiyo kwa kuwa kuna watu hawana uwezo wa kusajili wachezaji 10 wa kimataifa, basi dawa ni kuzizuia timu zote? Ndio maana nikaita hoja dhaifu. Nakumbuka enzi tunacheza chandimu kitaa, kama timu ina wachezaji wengi wasio na viatu, inaiambia yenye viatu wachezaji wake nao wavivue ili 'twende sawa'
 
Kama Malinzi alivyoihangaikia Yanga mpaka anakwenda Gerezani Ukonga pale
 
ngoja karia akipita mtaani kwetu mawe yanamuhusu awe kwa miguu au kwa gari ntajificha sehemu tu namsubiri kwa hamu, ananiudhi sana nashindwa mpaka kula
 
So karia ndio anajengea uwezo timu na hizo ni kanuni zinapitishwa na vilabu vyenyewe ktk uendeshaji wa ligi sio mtu mmoja

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Wacha uongo kwenye huo mkutano wa kupitisha vilabu kusajili wachezaji 10 wa kigeni Na Ihefu ilikuwepo? Wakati TFF inaleta hoja ya wachezaji 10 ni ule wakati mo alipo bid 20b huku vilabu vingine vyote except Azam vilikuwa havina ubavu huo, GSM walijitokeza baaadaee. Kwahiyo mlengwa mkuu ni simba. Sasa simba kikosi kipana kucheza ligi moja Na akina Ihefu ni ujinga mtupu, hakuna uwiano. Lakini pamoja Na kuwa Na kikosi kipana lakini lakini ilitumia hela zake kuwatia upogo waamuzi Na wachezaji wa timu pinzani.
 
Back
Top Bottom