Karia ameihangaikia Simba tu kwa kipindi chake chote

Karia ameihangaikia Simba tu kwa kipindi chake chote

Innocent bashungwa yanga kindaki ndaki waziri wa sanaa utamaduni na michezo taarifa ilitoka kwenye wizara yake na kuvuruga mambo yote kwenye Derby ya simba na yanga ivi tff ina ubavu gani kuivimbia serikali?
Ndio mana umeona mpaka Leo innocent bashungwa kasema sababu ilikua nini ya kuhairisha mech?
Na nani mwenye ubavu wa kwenda mbele serikalini na kuhoji kwann mmehairisha mechi nan uyo
Mwisho mnasema kariha

Hoja ya kusajili wachexaji kumi
Ivi azam awana uwezo wa kusjili wachezaji 10 kweli?
Wana uwanja bora miundo mbinu bora washindwe kusajili wachezaji 10

Yanga ina kauli mbiu ya timu ya wananch itajengwa na mwananch mwenyewe ina maana wanajiweza wakipiga mahesabu yao Yale ya karatasi kila mwananch wa wa yanga akichanga sijui 1000 sijui 2000 watatengeneza pesa ndefu sana billion na ushehe na akuna atakae sumbua kwenye usajili
Wakafungua account michango ikaanza mwisho wanapata million 4 sijui 5

Akuna janjajanja kwenye mpira MPE mwenye pesa timu isonge
Manji kila mtu aliona alikua na pesa
Simba tulikua hoi
Baada ya mo kuingia ndio tumerudi
Gsm amwage mzigo wa maana asajili uone afute wapiga pesa kwisha
 
Innocent bashungwa yanga kindaki ndaki waziri wa sanaa utamaduni na michezo taarifa ilitoka kwenye wizara yake na kuvuruga mambo yote kwenye Derby ya simba na yanga ivi tff ina ubavu gani kuivimbia serikali?
Ndio mana umeona mpaka Leo innocent bashungwa kasema sababu ilikua nini ya kuhairisha mech?
Na nani mwenye ubavu wa kwenda mbele serikalini na kuhoji kwann mmehairisha mechi nan uyo
Mwisho mnasema kariha

Hoja ya kusajili wachexaji kumi
Ivi azam awana uwezo wa kusjili wachezaji 10 kweli?
Wana uwanja bora miundo mbinu bora washindwe kusajili wachezaji 10

Yanga ina kauli mbiu ya timu ya wananch itajengwa na mwananch mwenyewe ina maana wanajiweza wakipiga mahesabu yao Yale ya karatasi kila mwananch wa wa yanga akichanga sijui 1000 sijui 2000 watatengeneza pesa ndefu sana billion na ushehe na akuna atakae sumbua kwenye usajili
Wakafungua account michango ikaanza mwisho wanapata million 4 sijui 5

Akuna janjajanja kwenye mpira MPE mwenye pesa timu isonge
Manji kila mtu aliona alikua na pesa
Simba tulikua hoi
Baada ya mo kuingia ndio tumerudi
Gsm amwage mzigo wa maana asajili uone afute wapiga pesa kwisha
Mwenye mpira wake ni TFF, CECAFA, CAF na FIFA. Kuahirisha mechi huwezi kuisingizia serikali. Karia kwa mamlaka aliyonayo kwenye mpira alipaswa kuhoji na kuishauri serikali juu ya kanuni za mpira zinavyosema kuhusu mabafiliko ya muda wa mechi na madhara yake kwa mpira na wadau wa mpira wa ndani na nje. Kama Karia ameshindwa kuishauri serikali kwenye hili maana yake hatoshi, maana yake iko siku serikali itamwambia ligi iwe na timu 8 tu bila kuhoji sababu atatekeleza tu?
 
Kiongozi aliyesababisha taharuki Na hasara kubwa ya kuahirisha mechi kubwa kama ile ya Simba Na yanga bila maekezo yoyote ya maana anawezaje kuaminiwa tena? Let us be serious with our football.
Karia hafai, anaongozwa na mahaba yake kwa Simba. Hebu ona, mechi imeaahirishwa kiboya lakini Simba hawakuhoji kwanini muda uliahirishwa. Hii ni ushahidi mwingine kuwa TFF Na Simba wana uhusiano uliokithiri viwango vya kawaida vya shirikisho la mpira Na timu ya mpira.
msikimbie kivuli mechi iliahirishwa kwa maelekezo ya wizara ikasogezwa mbele sioni kosa la TFF bodi ya ligi hapa na waziri hakukanusha kuwa hawakutoa taarifa msimlinde mwenzenu ilitakiwa mtumie busara tu kuliko kuwaingizia hasara washabiki wenu.

kumbuka moja wapo ya kiporo ni hiki cha july 3 mlichosababisha yanga

Enzi za malinzi utopolo hamjasema haya
 
msikimbie kivuli mechi iliahirishwa kwa maelekezo ya wizara ikasogezwa mbele sioni kosa la TFF bodi ya ligi hapa na waziri hakukanusha kuwa hawakutoa taarifa msimlinde mwenzenu ilitakiwa mtumie busara tu kuliko kuwaingizia hasara washabiki wenu.

kumbuka moja wapo ya kiporo ni hiki cha july 3 mlichosababisha yanga

Enzi za malinzi utopolo hamjasema haya
Sahihi Uyu n bashungwa wanajificha kwa karia utopolo sjui vip
 
Wachezaji 10 wa kigeni Karia aliilenga Simba tu ambayo kwa wakati ule ndo iliyokuwa Na uwezo wa kifedha wa mo
Utopolo mbona nao walisajili 10.
Halafu utopolo mnajisahaulisha haraka sana,malinzi alipunguza wachezaji wa kigeni toka 10 mpaka 7 na wakati ule nyie ndio mlilalamika sana hasa kwa sababu mlimkosa Kavumbagu akaenda Azam.Wakati anaingia Karia
ninyi hao hao pamoja na Azam ndio mlioshinikiza wachezaji warudishwe 10 na wakati ule mlidhani Manji bado mnae kumbe jamaa akaenda zake kanada na Mungu si athumani msimu ule Dewji akajitokeza na akatoa 100m kusaidia usajili Simba ikiwa ni mbinu aliyotumia kuwashawishi wanachama ili apewe timu huku akiahidi kuondoa matatizo yote ya klabu.
Yaani utopolo shida yenu ilianzia pale mlifosi kurudishwa wachezaji 10 wa kigeni pasipo kuongea na tajiri yenu ambae kipindi kile alishaanza kunusa hali tofauti ya kupendelewa na serikali kama ilivyokuwa wakati wa Kikwete ikawa kila siku anaenda ulaya huku wachezaji hawana mishahara.hii inaitwa ukitaka kuruka kwanza uagane na nyonga.sasa msimsingizie Karia wakati nyie ndio mliopiga kampeni irudishwe idadi hiyo ya wachezaji wa kigeni,tofauti ni kilichofuata timu yenu ikageuka matonya.
 
msikimbie kivuli mechi iliahirishwa kwa maelekezo ya wizara ikasogezwa mbele sioni kosa la TFF bodi ya ligi hapa na waziri hakukanusha kuwa hawakutoa taarifa msimlinde mwenzenu ilitakiwa mtumie busara tu kuliko kuwaingizia hasara washabiki wenu.

kumbuka moja wapo ya kiporo ni hiki cha july 3 mlichosababisha yanga

Enzi za malinzi utopolo hamjasema haya
Karia angetakiwa kujiuzuru kuliko kutii maagizo yasiyo rasmi yanayokinzana Na taratibu za mpira wake. Hiyo serikali ni nani? Rais? Waziri? Au nani Na kwasababu gani?

Karia angejiuzulu kuonyesha kuwa mpira una wenyewe.
 
Huyo Karia ni shabiki wa Simba na Mwanasiasa kada wa CCM.

Ni Mtu wa hovyo asiyefaa kuwekwa kwenye nafasi ya uongozi wa michezo

Mikia inampenda sana Karia kwasababu anawabeba.
 
Ni timu gani ulaya iliyokuwa Na viporo 9 eti kwasababu inashiriki mashindano mengine? Hata hivyo viporo vya namungo walipewa tu ili kubalance upendeleo wa Simba ili Namungo Na wadau wengine wasije kuhoji. Lakini Karia Na tff walifahamu fika kuwa namungo haiwezi kufika mbali kwenye mashindano yake hata ingepewa muda gani. Ile mbeleko ilikuwa ni ya Simba tu namungo ilidandia treni kwa mbele.
Mkuu ni viporo gani hivo 9 Maana kila nikijaribu kuhesabu naona vilikuwa 4 tu
 
Msimu huu 5. Msimu uliopita 9
Sio kweli mkuu, msimu huu vilikuwa 4 baada ya Yanga kugomea mechi ya Simba ndio vikafika 5, sio kweli msimu uliopitia Simba ilikuwa na viporo 9 kumbuka msimu uliopitia Simba hakufika mbali club bingwa hivo hakuwa na viporo kabisa na kama unaongelea msimu wa mwaka juzi pia havikufika 9 bali ni 4 na Yanga akawa kamzidi Simba points 8 usiandike Tu unachojiskia

hebu jaribu kujenga hoja zako za kumkataa karia kwenye point zingine za msingi na sio issue ya viporo maana karibia league zote ambazo team zao zilifika quarter final zilikuwa na viporo kuanzia 4 Kwa hiyo nawao maraisi wao hawafai

Na Bora ata Simba anapata viporo kwakuwa anafika mbali club bingwa, kipindi cha Malinzi Yanga haikufanikiwa kufika mbali zaidi ya kuishia round ya pili Ila misimu yote 3 yanga ilikuwa inapata viporo Hadi 5 kwakuwa walikuwa wanaenda Hadi kuweka kambi nchi nyingine eti ili wacheze club bingwa kwahiyo issue ya viporo sio kipimo cha uwezo wa raisi wa shirikisho
 
Wachezaji 10 wa kigeni Karia aliilenga Simba tu ambayo kwa wakati ule ndo iliyokuwa Na uwezo wa kifedha wa mo

Aliyekulipia Ada ya shule nampa pole kwa hasara aliyoipata.

Yaani ulitaka Karia achukue pesa wanazotoa Simba kwa ajili ya usajili aziletee Wachezaji kwenye Timu ya yanga?
 
Huyo Karia ni shabiki wa Simba na Mwanasiasa kada wa CCM.

Ni Mtu wa hovyo asiyefaa kuwekwa kwenye nafasi ya uongozi wa michezo

Mikia inampenda sana Karia kwasababu anawabeba.
Malinzi alikuwa shabiki wa team gani, au Ili iwe vizuri ni lazima awekwe shabiki wa Yanga?

Hutapata mtu ambaye soup shabiki wa team yoyote hapa bongo.
 
Hoja dhaifu kivipi? Wakati kanuni ya kuruhusu wachezaji 10 inapita kule TFF ni Simba tu labda Na Azam waliokuwa Na uwezo wa kusajili wachezaji 10, hivyo TFF ilitumika vibaya kuimarisha timu moja tu kwenye ligi. Simba yenye kikosi kipana chenye wachezaji mahiri 10 wa kigeni Na mahiri wa ndani ndiyo icheze Na Ruvu, Ihefu, polisi, mtibwa, mbeya city nk. Upuuzi sawa Na upuuzi mwingine.

Kwa hiyo Yanga na Ihefu kutokuwa na uwezo wa Kusajili ilaumiwe TFF?
 
Back
Top Bottom