Karia anapambana ili Simba ipangiwe Petro de Luanda

Karia anapambana ili Simba ipangiwe Petro de Luanda

Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Acha kutumia makalio kufikiria
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Wewe utakuwa ni mchawi mtaani kwenu, siyo bure, kwa sasa timu yoyote haitakuwa kulalamika kwa suala la makundi, huyo Karia anaubavu gani wa kushawishi viongozi wa Caf ili timu za Tanzania zipangwe kwa matakwa ya Karia?
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Mtu kama huyo unakutana kamaliza chuo
 
"Watanzania wengi ni Kiwanda cha Majungu"
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Simba hao hawa ogopi kwani yy mwenyewe anadai wakubwa wenzie ambao kila siku wanamwacha robo.
 
hata wapangiwe ndanda fc hao mwisho wao robo tu...ndo wameandikiwa hivyo
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Dini zote pamoja na dini za asili zimekataza kumzushia mtu,hivi wewe ni dini Gani???
 
Yaani jamiiforum ya siku hizi imevamiwa aisee... wajinga wajinga ni wengi..

Miaka 10 nyuma nilikuwa nikiingia sikosi madini ya maana.Ina maana uelewa wangu umekua sana au ni wajinga wamekuwa wengi wanaoanzisha uzi.

lakini siku hizi wajinga wajinga wengi.
SASA MTU KAMA HUYU KWELI NAYE ANA HAKI YA KUANZISHA UZI..

Rai yangu kuwe na interview kabla ya kujiunga jamiiforums wengine wabaki kama wageni tu (guests).
 
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).

Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.

Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.

Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.

Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.

Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Wewe Jobless unawashwa sana na Habari za Simba, Badala uzunguke kutafuta vibarua hata vya kuokota Chupa, kuuuutwa kucha ni thiimba thiiimba. Bw mdogo achana na kushinda kwa shemeji umeshika rimoti. Simba ni lidude likuuuuuuubwaaaa na limejaaa watu wenye akili na maarifa.

Simba haina shabiki mpumbavu kama wewe,
Na hamtavuka. Tuone hiyo lazima yenu mnayojipangia.

Mtaumia sana kumoyo safari hii
Hii post uliituma Immediately baada ya 1-1 ya Simba na Asec.

Kama ilivyo ada kwamba huko Utopolo wenye akili ni JK na Baba Manara leo unakuja na mashuzi mengine ukijitekenye ooooh mimi ni thimbaaa. Maaaaanina zako wewe Kenge acha kutujazia Server na takataka zako.
 
Yaani jamiiforum ya siku hizi imevamiwa aisee... wajinga wajinga ni wengi..

Miaka 10 nyuma nilikuwa nikiingia sikosi madini ya maana.Ina maana uelewa wangu umekua sana au ni wajinga wamekuwa wengi wanaoanzisha uzi.

lakini siku hizi wajinga wajinga wengi.
SASA MTU KAMA HUYU KWELI NAYE ANA HAKI YA KUANZISHA UZI..

Rai yangu kuwe na interview kabla ya kujiunga jamiiforums wengine wabaki kama wageni tu (guests).
Kumbe nawewe umeona eeeh, probably huyo Upstairs ubongo haumo nahic ana Cryptokoko fangasi wametafuna ubongo kabaki na kopo tu la kubebea Macho.
 
Back
Top Bottom