United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
ata Yanga ya mzee msatafu kitambo sana au mwezetu ni mjuku wa mzee msatafu usie tambulikasimba mbona ni ya mo kitambo [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ata Yanga ya mzee msatafu kitambo sana au mwezetu ni mjuku wa mzee msatafu usie tambulikasimba mbona ni ya mo kitambo [emoji23][emoji23]
katiba lazima wawe wa 3 😂😂, bado mmoja??ata Yanga ya mzee msatafu kitambo sana au mwezetu ni mjuku wa mzee msatafu usie tambulika
Ile ni Roho kamili bro ndio maana watu wapo radhi waache kwenda ibadani waende kuwashangilia.WATU WAZIMA NA FAMILIA ZAO LAKINI LINAPOKUJA SUALA LA SIMBA NA YANGA MTU ANAKUWA AKICHAA KABISA.
HIZI TIMU ZINATUTOA AKILI KABISA WATANZANIA.
J5, saa ngapi mkuu?We Zunguka Subiri Jumatano Hapo Utaona Quarter Finals
Young Africans Vs Asec Mimosas
Simba Sc Vs Mamelod
Acha kutumia makalio kufikiriaKati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Wewe utakuwa ni mchawi mtaani kwenu, siyo bure, kwa sasa timu yoyote haitakuwa kulalamika kwa suala la makundi, huyo Karia anaubavu gani wa kushawishi viongozi wa Caf ili timu za Tanzania zipangwe kwa matakwa ya Karia?Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Mtu kama huyo unakutana kamaliza chuoKati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Bora Mara mia Simba akutane na Mamelod Sundowns au Petro De Luanda kuliko Al AhlyWe Zunguka Subiri Jumatano Hapo Utaona Quarter Finals
Young Africans Vs Asec Mimosas
Simba Sc Vs Mamelod
Simba hao hawa ogopi kwani yy mwenyewe anadai wakubwa wenzie ambao kila siku wanamwacha robo.Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Dini zote pamoja na dini za asili zimekataza kumzushia mtu,hivi wewe ni dini Gani???Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Iliwa hivi nitafirahi mnoWe Zunguka Subiri Jumatano Hapo Utaona Quarter Finals
Young Africans Vs Asec Mimosas
Simba Sc Vs Mamelod
Wewe Jobless unawashwa sana na Habari za Simba, Badala uzunguke kutafuta vibarua hata vya kuokota Chupa, kuuuutwa kucha ni thiimba thiiimba. Bw mdogo achana na kushinda kwa shemeji umeshika rimoti. Simba ni lidude likuuuuuuubwaaaa na limejaaa watu wenye akili na maarifa.Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Hii post uliituma Immediately baada ya 1-1 ya Simba na Asec.Na hamtavuka. Tuone hiyo lazima yenu mnayojipangia.
Mtaumia sana kumoyo safari hii
Kumbe nawewe umeona eeeh, probably huyo Upstairs ubongo haumo nahic ana Cryptokoko fangasi wametafuna ubongo kabaki na kopo tu la kubebea Macho.Yaani jamiiforum ya siku hizi imevamiwa aisee... wajinga wajinga ni wengi..
Miaka 10 nyuma nilikuwa nikiingia sikosi madini ya maana.Ina maana uelewa wangu umekua sana au ni wajinga wamekuwa wengi wanaoanzisha uzi.
lakini siku hizi wajinga wajinga wengi.
SASA MTU KAMA HUYU KWELI NAYE ANA HAKI YA KUANZISHA UZI..
Rai yangu kuwe na interview kabla ya kujiunga jamiiforums wengine wabaki kama wageni tu (guests).