Karia anapambana ili Simba ipangiwe Petro de Luanda

Karia anapambana ili Simba ipangiwe Petro de Luanda

Sio kumaliza chuo tu, ni senior lecturer wa chuo kikubwa tu hapa nchini

Kaka kaka…Mbona Umenichunia mshabiki mwenzio?
Nime comment hapo hata hujanijibu kaka?
Au wewe sio Yanga Mwenzetu?
Sababu Tuliongea jana na Ukasema utarumia hii ID ya Muite Kuwafanyia fitina Simba!
sasa leo Umenichunia?
Au Nije Inbox?
mimi na wewe ni Yanga Daima
Tuendelee kuwafanyia figisu na Firina Ionekane kuna kitu fulani illi Itupe urahisi Sisi Yanga!
Tunataka kuweka Historia ya Kufika Nusu Fainali Club bingwa Kabla ya Simba ambae ni Mzoefu sasa Tunawafanyia Figisu Hadi wakome!
Mimi na wewe tutafirahia pale kijiweni Tukipangiwa Asec au Esperance ili tuwe club ya Tanzania ya Kwanza kufika Nusu halafu Tumzidoe Mtani wetu Simba!
Naona Tutafanikiwa Muite[emoji23][emoji23][emoji16]
 
Halafu ni kwanini mmemuuzia Mo timu yetu

Kaka Mimi na wewe si Yanga???
Aaaa nimekumbuka kama tulivyoongea kuwafitinisha Simba!
Tukassma Ujifanye wewe ni Simba!
Usisahau Kuja Pale kijiweni Mkuu!
Sisi yanga lazima Nassma Lazima tufike Nusu fainali kabla ya Simba Mwaka huu!
Ili tuwazodoeee kuwa Wao simba wanaishia walipozoea Kuishia Robo[emoji3][emoji3]
Endelea Kujifanya wewe ni simba Kama tulivyopanga Kaka Muite
 
Uto wapangiwe tu na Mamelod wapigwe wachakae kenge hawa.
Mimi kama Yanga mwenye akili timamu na ninajitambuwa nahitaji Yanga tupangwe na Mamelodi ili tukiwamudu kuwatowa watupe Tu Hilo kombe hakuna tena wa kutuzuia.

Ni hasara kuliko faida kukutana Mamelodi stage za kuchungulia kombe, hawa Mamelodi robo fainali ndio sehemu ya kuwapunguza mapema, timu tunayo na majini ya kutosha yapo
 
Mimi kama mwana Yanga natamani itokee hivyo hiyo ndio mechi itakayotowa bingwa wa mwaka huu.

Hifadhi hii comment.
Acha unazi wewe, Yanga lazima atoke akikutana na Mamelody. Hata Simba lazima atoke akikutana na Mamelody. Na kuna uwezekano mkubwa Mamelody akatwaa ubingwa.

Yaani unataka kusema Yanga akimtoa Mamelody basi anaenda kutwaa ubingwa Afrika?
 
HUMU NDANI KUMBE BADO KUNA MATAHIRA.

KWELI UKINGA HAUTOKUJAA KUISHA.

"Hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa Fikra".
JK Nyerere.
Umeweka picha ya Mzungu na ukajiita CAPO DELGADO halafu bila aibu unawaita watanzania wenzako kuwa ni watumwa wa fikra , halafu unaweka quotation ya Mwl Nyerere (Nimecheka sana ujue). Yaani ni sawa na Mgogo aliyekataa majina yake ya asili na kujiita Brian Mcdonald halafu anasimama kusema waafrika ni watumwa wa akili.

Niambie CAPO DELGADO wa Kivule
 
Swali. Inaulizwa droo ni siku ya jumatano? Wewe unajibu kama umetoka kuvut bangi.
Uzuri unajua ukweli ndio maana ukasema ni kama nimevuta bangi ila ukweli unaujua sijavuta. Kumbe ukivuta bangi unajibu kama nilivyojibu. Basi uache hizo bangi nami naacha kujibu kama wavuta bangi
 
Afya ya akili ni adui mwingine wa maendeleo...

Endelea kutumia kichwa kufuga nywele
 
Mamelody sawa ila al ahly mbona walicheza na robertinyo na hawakufanya chochote au hukuangalia ule mpira we zwazwa.
 
Mimi kama Yanga mwenye akili timamu na ninajitambuwa nahitaji Yanga tupangwe na Mamelodi ili tukiwamudu kuwatowa watupe Tu Hilo kombe hakuna tena wa kutuzuia.

Ni hasara kuliko faida kukutana Mamelodi stage za kuchungulia kombe, hawa Mamelodi robo fainali ndio sehemu ya kuwapunguza mapema, timu tunayo na majini ya kutosha yapo

Naunga Mkono hoja
Cc Muite
 
Back
Top Bottom