Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
kabla ya kuleta uzi wa namna hii fanya utafiti kwanza.
ila ni sawa tu maana kwenye soka vilaza wote wapo huko.
ila ni sawa tu maana kwenye soka vilaza wote wapo huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Wasameheni Bure watu Hawa,kwani mashabiki wa timu hiyo ni wageni wa mambo haya.Ficha ujinga wako basi japo kidogo tu. Unadhani wanapanga kama nyanya?
Vigezo ni hivi hapa
1. Timu zilizokuwa kundi moja hazikutani katika hatua ya robo fainali
2. Kunakuwa na vyungu viwili (pot). Pot moja ni washindi wa kwanza kila kundi na Pili ni washindi wa pili kila kundi. Hapa sasa mshindi wa kwanza atakutana na mshindi wa pili kundi jingine. Mechi itaanza nyumbani kwa mshindi wa pili itamalizika mkondo wa pili kwa mshindi wa kwanza.
3. Droo itachezesheshwa toka pot ya kwanza kupata mshindani pot ya pili kwa kuzingatia vigezo hapo juu.
Sasa Karia anaingiaje hapo?
Yaani kweli ww ni chura lialia wa matopeni utopolo mkubwa jini wahedi wewe
Foolish speculationsKati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
..Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Wewe ni utopoloKati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Huyo ni mbumbumbu ulitegemea akujibu vipi?Swali. Inaulizwa droo ni siku ya jumatano? Wewe unajibu kama umetoka kuvut bangi.
Timu inayodai imeingia Kwa kishindo robo Kwa kumfunga mwarabu Leo inapiga ramli itapangiwa na Nani?🙄Ficha ujinga wako basi japo kidogo tu. Unadhani wanapanga kama nyanya?
Vigezo ni hivi hapa
1. Timu zilizokuwa kundi moja hazikutani katika hatua ya robo fainali
2. Kunakuwa na vyungu viwili (pot). Pot moja ni washindi wa kwanza kila kundi na Pili ni washindi wa pili kila kundi. Hapa sasa mshindi wa kwanza atakutana na mshindi wa pili kundi jingine. Mechi itaanza nyumbani kwa mshindi wa pili itamalizika mkondo wa pili kwa mshindi wa kwanza.
3. Droo itachezesheshwa toka pot ya kwanza kupata mshindani pot ya pili kwa kuzingatia vigezo hapo juu.
Sasa Karia anaingiaje hapo?
Yaani kweli ww ni chura lialia wa matopeni utopolo mkubwa jini wahedi wewe
Mimi kama mwana Yanga natamani itokee hivyo hiyo ndio mechi itakayotowa bingwa wa mwaka huu.Lazima Yanga akipige na Mamelody
Kwa iyo hao petroo ndo unawachukulia poa mkuu
Petro hawajafungwa hata goli moja kwenye hiyo group stage, Wana ukuta wa Berlin.Kwa iyo hao petroo ndo unawachukulia poa mkuu
We ni UTOPOLO hakuna mwanasimba mpumbavu kama wewe.Kati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.