Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cinema zetuHahhahahhaha baki sebuleni apo kwa shemeji badili chanel za azam.
Hahahahahah nchi haaishiwi vioja
wananchi wengi ni maiti
Hawa UWT akili zao ni za hovyo snHahhahahhaha baki sebuleni apo kwa shemeji badili chanel za azam.
Jamaa hawana utani na nchi yaoNatazama wakenya hapa wameingia bungeni maandamano.
Hao ndio wanaume wenye kende kamili.Natazama wakenya hapa wameingia bungeni maandamano.
Wana hasira aisee.Jamaa hawana utani na nchi yao
Dawa ya haya majangili ya mali za umma ni hiyoWana hasira aisee.
Aisee nitawaheshimu wakenya popote nitakapokutana nao. Ila elimu yetu nadhani imetufanya tuwe na upeo mdogo wa kupembua mambo. Wakenya hata ukisikia wanaongea kwenye redio ni watu wenye hoja na uelewa mkubwa.Jamaa hawana utani na nchi yao
Darasa la saba BKwa hiyo wakigawanya ndiyo kero za uwingi wa kodi ndiyo zinaisha?umesoma hadi darasa la ngapi?
Mtu unashinda unasikiliza miziki ya mapenzi utapata wapi akili?Aisee nitawaheshimu wakenya popote nitakapokutana nao. Ila elimu yetu nadhani imetufanya tuwe na upeo mdogo wa kupembua mambo. Wakenya hata ukisikia wanaongea kwenye redio ni watu wenye hoja na uelewa mkubwa.
Husler kazi anayo.Dawa ya haya majangili ya mali za umma ni hiyo
Hakuna namnaHusler kazi anayo.
Vijana wa hovyo ndio hawa sasaHawa UWT akili zao ni za hovyo sn
Unajua maana Ya Central Business District Yaani CBD mjinga weweVifaa vya ujenzi vikauzwe bunju
Vifaa vya umeme kibamba
Vifaa vya ndani mbagala
simu ndio zibaki kariakoo
Nguo gongolamboto
Iwekwe order baada ya miez 3
Watu wadili snVijana wa hovyo ndio hawa sasa