Kariakoo Derby 13/08/2022

Katazame tena viungo tunaowaita wakabaji paLe simba naturally sio defensive may be mzamiru kwa mbaLi buT wengine wote not defensive
Mbona Mkude ni naturally??

Wengine ni box to box ila Mkude hiyo ya kukaba Ndio anaimudu ipasavyo kwa waliopo.
 
Umeiona kama mimi
 
Kocha kama atampanga mkude kama mkabaji hiyo game tunapigwa
 
Jifunze mpira hao wote wanafanana ni wazuri wakiwa na mpira,hawawezi kukaba na ni wazito.Simba ilikuwa na kiungo bora alivyokuwepo Kotei,Fraga na Lwanga
Mkude
Mzamiru
Kanoute
Akpan
alafu bado unadai Simba hakuna viungo wakabaji!? Rejea final ya FA pale Arusha ujionee balaa la Akpan

Hakuna eneo lililovizuri sasa hivi pale simba kama katikati na ukuta. Mbele kidogo ndio tua maji tia maji.
 
Bigirimana hana kitu.
 
Umeanza tena kuonesha ushamba wako.
Epl player unamfananishe na hiyo ngongingo inayocheza rafu mechi nzima..

Mnapenda kujichetua akili sana [emoji23]
Wee EPL unaijua au unaisikia??? Au unajitoa ufahamu??

Wenzake wamekuwa makocha, yeye alikua ktk kiwanda cha bia alifukuzwa kisa wizi, eti leo anacheza?? Unajua km huko EPL hakudumu wakimkataa kisa maradhi???.

Endelea kujitoa ufahamu hivyo hivyo. Yule hana uwezo wa kuhimili game ya Derby, km mie muongo kesho awepo afu utakuja uniambie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…