Kila nikiangalia eneo la defensive midfield ya timu yangu Simba napatwa wasiwasi kabisa sababu viungo wote waliopo hadi sasa ni wa aina moja kwa mbalii Mzamiru anaweza kukaba ila eneo letu la viungo wengi ni washambuliajii kuna kutawaliwa eneo La katikati kesho hiyo sijui mwalimu Maki atalitatua vipi hili tatizo!
Wanasimba wenzangu nyie mnaonaje?
Wanasimba wenzangu nyie mnaonaje?