Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka refa atoe adhabu gani pale.Ya kupewa. Huyu Refa sijui kala ngapi za Mo.
Kuna chura analia hukuuu 😰😰😭Mambo si mambo hali teteeeee.
Kapewa kiwanda cha cleansoft. Ha2gawi pesa tunahonga viwonder nowdayzYa kupewa. Huyu Refa sijui kala ngapi za Mo.
Faulo
VAR ipo na Tushawafunga...Kawapa. Ila kwani hamna VAR?
Gori la bure
kelphin kepph
Naona Yanga lia lia washaanza kulia
huyu refa tulishamkataaga ***** zake shenzy wahed
Yanga sawazisheni bwana.
As last defender angekula red kadi pia.Kavutiwa nje kaanguka ndani,refa anazingua kishenzi.
Wewe Sio SimbaJapo mimi Simba ila linesman amezingua amem-mislead refa wa kati.
Haikua penati. Foul imechezwa nje ya mstari.
Tff mjipange! , Leo wengi tumeshindwa kuingia uwanjani tumekuja kwenye mabaa.. Yaani inaumiza unakuja hadi huku halafu unaishia nje! Nimekasirika Sina tu jinsi
Sent using Jamii Forums mobile app