Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi Magufuli tokea Awe Raisi ameshawahi kuvishuhudia [emoji196] [emoji196] vikimfunga Simba Mabingwa wa Nchi?
Au aruke ukuteRudi Nyumbani
Niko uwanja wa taifa toka saa sita mchana huu lakini nimekosa toketi. Wauzaji wanasema tiketi zimeisha.
Nasubiria taarifa ya TFF kusema kuwa uwanja ulijaa viti vyote vinginevyo nitajua hii ni hujma kwenye mechi ya leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujamuelewa jamaa ebu tuliza akili alafu Soma upya utamuelewa.Mijitu mingine bana,sasa ticket zilizotengenezwa kutokana na idadi ya viti zimeisha we unataka uuziwe nini?
ungepewa ticket halafu uingie uwanja ujae sana bado ungelalamika kuwa ni wazembe wamekata ticket zaidi. tuache kulalamika kwanza saa sita ndio umewahi wakati watu wamekata ticket siku nyingi?