Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
mkuu mnyama kazingua kinouma yan hasira Apa sijui ntaambia nn watu keshoMatokeo ya.ki.senge sana haya...yameniuma sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mnyama kazingua kinouma yan hasira Apa sijui ntaambia nn watu keshoMatokeo ya.ki.senge sana haya...yameniuma sana..
Kwani unateseka kaka
Mle bhape sana nduhu kenu geteUbhebhe acha hizo unaijua historia ya huyu referee? Na unadhani kwanini Yanga ilishukuru kumuona yeye?
Hakika sijawahi kuwa na imani naye.Manula ni mda sahihi Wa kumpisha beno kakolanya.
Nafurahia jinsi droo tulivyoipata mzee yaani booonge la comeback hahahahaha polen mikiaKea hiyo unafurahia draw Pancho Latino au sio?
Hahaha hapo kwa ccm sipo
Nanyie tafuteni Mo wenu [emoji23][emoji23][emoji23]Simba wenyewe walitembeza hapo wametulia kwa hisani ya MO. Akisepa tu hali mbaya
Ni blunder za Manula tu hizo he got nothing new to offer kwa klabu.Nafurahia jinsi droo tulivyoipata mzee yaani booonge la comeback hahahahaha polen mikia
Unaona ile ni draw kaka?!
Mmeshinda mbili ngapi?
Nanyie tafuteni Mo wenu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mwenyewe nimeumia sana na haya matokeo, sijui kama nakosea ila sina Iman siku zote na Aishi Manula.mkuu mnyama kazingua kinouma yan hasira Apa sijui ntaambia nn watu kesho
Mmeshinda mbili ngapi?
😜😜ila mkuu hongeren maana tulikuja na Matokeo mfukon mmetuumbua sijui ntaambia nn majiranHapana tunashangilia hii rekodi refa 1 + simba 1 vs yanga 2
Hongereni kwa kuambulia walau sare.Hebu nipungie mkono hebuu...
[emoji120][emoji120][emoji8]